Manfighter
Member
- Jun 22, 2017
- 88
- 43
Ndugu nilihitaji munisadie kuhusu taratibu za kujiunga na jeshi la JWTZ huku naona nimekosa wajuzi wa kunifafanulia.. kwa aliye maliza form six na kufaulu ni zipi taratibu na anaanzaje hadi kufika alipo hitaji... kwa maelezo tu.. hata kidogo naombeni msaada kwa hilo