GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Helo wakuu,
Nimelazimika kuandika thread hii kutokana na usumbufu ninaoupata karibu kila siku simu yangu inapokuwa wazi.
Mara nyingi huwa napigiwa simu zinazoulizia kuondoka kwa usafiri wa mabasi fulani hapo stendi ya Ubungo. Wengi huwa wananiuliza "Gari fulani imeshaondoka hapo Ubungo?" Na mimi huwa najibu kwanza mimi niko Mbeya siko Dar.
Baada ya kuona kila siku watu wanaulizia usafiri ndio nikamuuliza mmoja kuwa amepata wapi namba yangu ya simu, akanijibu hiyo namba imeandikwa kwenye tiketi ya basi hilo.
Msaada:
Kama kuna mwanaFJ yeyote ambaye yupo hapo Stendi ya Ubungo au huwa anaenda mara nyingi hapo Ubungo Bus Terminal namuomba anitafutie namba hiyo ya simu au tiketi ya basi hilo ambayo namba yangu imeandikwa ili niwasiliane nao nione kama kuna uwezekano wa hao wenye tiketi kufanya marekebisho ya namba hiyo ya simu, Sina uhakika kama namba za simu zinaweza kugongana. Lakini pia nikizima simu yangu na kupiga namba hiyo kwa kutumia line nyingine naambiwa haipatikana.
Namba yangu yenyewe kwa kuficha tarakimu mbili kwa alama x ni 0713 2xx891
Nimelazimika kuandika thread hii kutokana na usumbufu ninaoupata karibu kila siku simu yangu inapokuwa wazi.
Mara nyingi huwa napigiwa simu zinazoulizia kuondoka kwa usafiri wa mabasi fulani hapo stendi ya Ubungo. Wengi huwa wananiuliza "Gari fulani imeshaondoka hapo Ubungo?" Na mimi huwa najibu kwanza mimi niko Mbeya siko Dar.
Baada ya kuona kila siku watu wanaulizia usafiri ndio nikamuuliza mmoja kuwa amepata wapi namba yangu ya simu, akanijibu hiyo namba imeandikwa kwenye tiketi ya basi hilo.
Msaada:
Kama kuna mwanaFJ yeyote ambaye yupo hapo Stendi ya Ubungo au huwa anaenda mara nyingi hapo Ubungo Bus Terminal namuomba anitafutie namba hiyo ya simu au tiketi ya basi hilo ambayo namba yangu imeandikwa ili niwasiliane nao nione kama kuna uwezekano wa hao wenye tiketi kufanya marekebisho ya namba hiyo ya simu, Sina uhakika kama namba za simu zinaweza kugongana. Lakini pia nikizima simu yangu na kupiga namba hiyo kwa kutumia line nyingine naambiwa haipatikana.
Namba yangu yenyewe kwa kuficha tarakimu mbili kwa alama x ni 0713 2xx891