Habari wana Jf,okay mimi nimenunua moderm​ ya voda,sasa nilichokuwa naomba kwa wataalamu ama wanaofahamu jinsi yakufanya ili uweze kutumia moderm hii kwa mitandao yote kwa maana nyingine jinsi ya kuchakachua hii moderminawezekana sio fair but mnisaidia kwa hilo tu nawasilisha.