Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Wana JF
Ninaishi Dar es Salaam. Nina ardhi ya kutosha Mpwapwa, Kongwa, Malinyi na Kilombero. Baada ya kufanya research ya kutosha, nimeamua niingie kwenye kilimo na ufugaji mkubwa wa kisasa ili kupunguza msongo wa kusubiria mshahara mwisho wa mwezi. Tractor nimeshaagiza Japan lipo njiani linakuja. Nina mpango pia wa kuwa na mashine ya kuvunia mpunga hapo baadaye. Kukamilisha mradi huu ili uweze kuanza,ninahitaji mkopo wa Tsh Ml. 80 mpaka Ml.100. Dhamana ninazo namaanisha Hati za nyumba zangu 4 hapa Dar es Salaam. Nimejaribu kupita katika baadhi ya Benki, wanasema wao wanakopesha wafanyabiashara wakati mimi si mfanyabiashara. Hivyo natafuta mtu yeyote ambaye ni mfanyabiashara mwenye transactions nzuri za walau Ml 10 kwa kila mwezi, nimpe Hati ya nyumba yangu moja aende Acces Bank akakope maana Acces Bank wanakubali mtu kukopa kwa dhamana ya mtu mwingine. Likikamilika hilo asante yangu nitatoa Tsh.Milioni 3 cash
Hivyo naomba kwa yeyote mwenye sifa hiyo, anitafute kwa namba ya simu 0767 87 60 86 ili tufanye mchakato
Shukrani
kaka hiyo riba utaiweza au umepanga kuiachia nyumba nn lakini. poa maana kilimo na hujawi lima mbona mtihani