G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Jf members nahitaji mchango wa mawazo yenu katika hili;
nna rafiki yangu ambaye alimaliza elimu ya msingi muda mrefu na baada ya hapo akajikita katika kazi za gereji ni mda mrefu sasa na hata ujuzi katika ufundi wa magari anao wakutosha isipokuwa sasa anasema alitaka japo apate kazi hata ya udereva katika sekta yoyote selikalini alijaribu kwenda chuo(NIT) kutaka kujiunga akaambiwa wanataka mtu aliyefikia elimu ya kidato cha nne nimeona nije hapa kwenu kupata ushauri je kwa elimu yake ya darasa la saba anaweza kujiunga na chuo kitachomuwezesha kupata chet na kazi pia je ni vyuo gani anaweza kwenda?
nna rafiki yangu ambaye alimaliza elimu ya msingi muda mrefu na baada ya hapo akajikita katika kazi za gereji ni mda mrefu sasa na hata ujuzi katika ufundi wa magari anao wakutosha isipokuwa sasa anasema alitaka japo apate kazi hata ya udereva katika sekta yoyote selikalini alijaribu kwenda chuo(NIT) kutaka kujiunga akaambiwa wanataka mtu aliyefikia elimu ya kidato cha nne nimeona nije hapa kwenu kupata ushauri je kwa elimu yake ya darasa la saba anaweza kujiunga na chuo kitachomuwezesha kupata chet na kazi pia je ni vyuo gani anaweza kwenda?