Simu yangu ni itel S11 siku hizi inaisha umeme haraka sana. Je, nikinunua betri yake mpya na kuichaji mpaka full, itakuwa imesaidia, yaani inaweza kukaa kwa muda mrefu kama ile ambayo imekuja na simu ikiwa mpya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.