Msaada kwa huyu dogo, je akifanya mitihani miwili ataweza kuunganisha cheti?

Chuku chuku

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
873
1,345
Habari wadau,Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE ila amepata daraja la nne pointing 27,yaani Physics -F, Chmistry-F, Biology-D, Kisw-C, Histor-D, Engl-C, Math-F, Civics-F, Geog-D, sasa nimebaki njia panda maana angepata D,kwenye masomo ya Sayansi ningempeleka akasomee nesi,lakini nataka arudie mtihani,je akifanya mitihani miwili tu anaweza kuunga cheti,yaani asome Historia na Geografia ili ikibidi aende hata kidato cha tano baadae?
 
Mtafutie plan b maswara ya kurudia wakati ana maks za kumpeleka kwingine haiko poa hio kingine kule kwenye kurudia hapatabiliki anaweza kosa akawa kapoteza mda tu
 
Mkuu njoo pm nitakusaidia sana na hutojuta kwa mdogo wako
Ungekuwa unaweka hapa jukwan ingekuwa better
Also Mara 100 ungemfuata mwenyewe kisiri siri!!
Kumbuka kuna wengi wanahitaji mchango wako
Also pengine unaweza enda wrong!!
Ukampoteza kijana mwenzetu!!
Natumaini umenielewa
 
Habari wadau,Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE ila amepata daraja la nne pointing 27,yaani Physics -F, Chmistry-F, Biology-D, Kisw-C, Histor-D, Engl-C, Math-F, Civics-F, Geog-D, sasa nimebaki njia panda maana angepata D,kwenye masomo ya Sayansi ningempeleka akasomee nesi,lakini nataka arudie mtihani,je akifanya mitihani miwili tu anaweza kuunga cheti,yaani asome Historia na Geografia ili ikibidi aende hata kidato cha tano baadae?
Nadhani anatakiwa awe na C tatu ili aweze kufanya mtihani wa form six.

Kwa sababu ana C mbili, nashauri aendelee na form 5 huku akirudia somo moja ili C tatu zikamilike.

Lakini usimlazimishe kuchukua masomo ya sayansi. Utakuwa unampoteza.

Akachukue masomo ya arts ambayo yana combi ya history na kiswahili. Kama ni binti atasomea public relation huko mbele ya safari.
 
Nimekupata mkuu,maana kuna mtu amenambia siku hizi kama mtu anataka kutumia cheti anatumia kile kimoja yaani huwezi unganisha C ya Geograph kwenye cheti kimoja ukasoma HGK kutegemea History na Kiswahili kwenye cheti kingine cha kurisit.
 
Habari wadau,Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE ila amepata daraja la nne pointing 27,yaani Physics -F, Chmistry-F, Biology-D, Kisw-C, Histor-D, Engl-C, Math-F, Civics-F, Geog-D, sasa nimebaki njia panda maana angepata D,kwenye masomo ya Sayansi ningempeleka akasomee nesi,lakini nataka arudie mtihani,je akifanya mitihani miwili tu anaweza kuunga cheti,yaani asome Historia na Geografia ili ikibidi aende hata kidato cha tano baadae?
Siku izi kuunga vyeti haipo mpeleke veta awe fund
 
3b7776a7a8fe619e939b4191370564a9.jpg
 
Back
Top Bottom