BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
habari
kuna dada mmoja amenieleza kisa hiki kimemtokea hadi sasa anashindwa aamue nini
huyo dada kaolewa kwa ndoa ya kanisani miaka 11 iliyopita na wamejaliwa watoto 2 ila karibu kuna tatizo kubwa ambalo limemuuza sana . alipata ujauzito na yalikuwa makubalianno yake na mmewe watafuta mwana ili akijifungua aachane na masuala ya uzazi tena,
alipobeba mimba hii yaani ya tatu baada ya mwezi akashangaa mme kidogo kama ameanza kubadilika . ujauzito ulipofikisha miezi 3 na nusu (week ya 16) tatizo ndipo lilipojitokeza, mme alitoka kazini na akapita kwenda kupata moja moto na baridi kama ilivyo ada lakini ilipofika saa nne usiku mme kazima simu na mke alijitahidi kumtafuta mara kwa mara lakini hakumpata .. imefika saa 11 mme kawasha simu na kumpigia mke lakini alikuwa ndo kafika getini. huyo dada alipata mshutuko pamoja na hasira ikapelekea kuanza kutokwa na damu ya hedhi . mwanaume akampeleka hosp na akamwacha na yeye kuendelea na arobaini zake pasipo hata kufuatilia hali ya mwenzake.. yule dada kapata mapumziko pale hosp, mme hakurudi tena kumjulia hali mwenzake. asubuhi ya siku iliyofuata jamaa ndo kaenda hosp na akaambiwa mwenzake anaweza kutoka kurudi nyumban, jamaa kaenda kuommba bili akapewa akalipa akaondoka na kumwambia mwenzake amjulishe akitaka kutoka . aliporuhusiwa mida ya saa nne jamaa akamwambia mke yuko busy sana achukue taksi arudi nyumbani.
jamaa aliporudi usiku sana hakuweza hata kumuuliza mwenzake kuhusu maendeleo yake na wala alivyo muacha hosp zaidi ya yule dada kumjulisha karuhusiwa na jamaa kumwambia achukue taksi jamaa hakuwasiliana na mke wake hadi usiku saa 8 amerudi home . wamekaa kwa wiki mbili bahati mbaya yule dada akiwa nyumbani alianza kutokwa damu mida ya saa 9 alasiri akamjulisha mme kuhusu mabadiliko hayo na pia akamwambia kaongea na dr ameambiwa aende haraka hosp. jamaa kama kawaida akamwambia mwenzake aende hosp anakuja . yule dada amefika hosp akaambiwa mimba imeharibika inabidi kusafishwa haraka kitu alichoweza ni kumpatia dr. namba ya mmewe ili aongee nae kwani yule dada asingeweza kuongea (alikuwa analia tu) jamaa akamewambia dr aendelee na matibabu atakuja . jamaa kaenda hosp saa 4 usiku akamkuta yule dada hajarejewa na fahamu vizuri kwani alisafishwa saa 12 jioni. jamaa baada ya kuambiwa mkewe hajarejewa na fahamu jamaa akaondoka kurudi home.
asubuhi ameenda kumjulia hali mke wake saa 3 na pia kuonan na dr ambaye alimweleza hali ya mkewe na akamwambia anataruhusiwa baadaye kwenye saa nne. jamaa akaomba bili akalipa na kuondoka bila hata kumuaga mkewe. aliporuhusiwa mke ilimlazimu kuchukua taksi na kurudi nyumba ambapo jamaa hakuweza kumpigia hata simu kujua maendeleo yake , na tangu tukio litokee hilo ni kama week 3 zimepita na ndani hakuna mawasiliano kati yako hata maongezi ,. jamaa rudi yake imekuwa ni usiku mkubwa , na mke hajaulizwa ahta maendeleo yake kiafya. mke kakata tamaa anataka achukue hatua hata ya kutengana na mwenzake
kuna dada mmoja amenieleza kisa hiki kimemtokea hadi sasa anashindwa aamue nini
huyo dada kaolewa kwa ndoa ya kanisani miaka 11 iliyopita na wamejaliwa watoto 2 ila karibu kuna tatizo kubwa ambalo limemuuza sana . alipata ujauzito na yalikuwa makubalianno yake na mmewe watafuta mwana ili akijifungua aachane na masuala ya uzazi tena,
alipobeba mimba hii yaani ya tatu baada ya mwezi akashangaa mme kidogo kama ameanza kubadilika . ujauzito ulipofikisha miezi 3 na nusu (week ya 16) tatizo ndipo lilipojitokeza, mme alitoka kazini na akapita kwenda kupata moja moto na baridi kama ilivyo ada lakini ilipofika saa nne usiku mme kazima simu na mke alijitahidi kumtafuta mara kwa mara lakini hakumpata .. imefika saa 11 mme kawasha simu na kumpigia mke lakini alikuwa ndo kafika getini. huyo dada alipata mshutuko pamoja na hasira ikapelekea kuanza kutokwa na damu ya hedhi . mwanaume akampeleka hosp na akamwacha na yeye kuendelea na arobaini zake pasipo hata kufuatilia hali ya mwenzake.. yule dada kapata mapumziko pale hosp, mme hakurudi tena kumjulia hali mwenzake. asubuhi ya siku iliyofuata jamaa ndo kaenda hosp na akaambiwa mwenzake anaweza kutoka kurudi nyumban, jamaa kaenda kuommba bili akapewa akalipa akaondoka na kumwambia mwenzake amjulishe akitaka kutoka . aliporuhusiwa mida ya saa nne jamaa akamwambia mke yuko busy sana achukue taksi arudi nyumbani.
jamaa aliporudi usiku sana hakuweza hata kumuuliza mwenzake kuhusu maendeleo yake na wala alivyo muacha hosp zaidi ya yule dada kumjulisha karuhusiwa na jamaa kumwambia achukue taksi jamaa hakuwasiliana na mke wake hadi usiku saa 8 amerudi home . wamekaa kwa wiki mbili bahati mbaya yule dada akiwa nyumbani alianza kutokwa damu mida ya saa 9 alasiri akamjulisha mme kuhusu mabadiliko hayo na pia akamwambia kaongea na dr ameambiwa aende haraka hosp. jamaa kama kawaida akamwambia mwenzake aende hosp anakuja . yule dada amefika hosp akaambiwa mimba imeharibika inabidi kusafishwa haraka kitu alichoweza ni kumpatia dr. namba ya mmewe ili aongee nae kwani yule dada asingeweza kuongea (alikuwa analia tu) jamaa akamewambia dr aendelee na matibabu atakuja . jamaa kaenda hosp saa 4 usiku akamkuta yule dada hajarejewa na fahamu vizuri kwani alisafishwa saa 12 jioni. jamaa baada ya kuambiwa mkewe hajarejewa na fahamu jamaa akaondoka kurudi home.
asubuhi ameenda kumjulia hali mke wake saa 3 na pia kuonan na dr ambaye alimweleza hali ya mkewe na akamwambia anataruhusiwa baadaye kwenye saa nne. jamaa akaomba bili akalipa na kuondoka bila hata kumuaga mkewe. aliporuhusiwa mke ilimlazimu kuchukua taksi na kurudi nyumba ambapo jamaa hakuweza kumpigia hata simu kujua maendeleo yake , na tangu tukio litokee hilo ni kama week 3 zimepita na ndani hakuna mawasiliano kati yako hata maongezi ,. jamaa rudi yake imekuwa ni usiku mkubwa , na mke hajaulizwa ahta maendeleo yake kiafya. mke kakata tamaa anataka achukue hatua hata ya kutengana na mwenzake