Msaada kwa hili tatizo: Nimepata uvimbe baada ya kumeza vidonge vya kupevusha mayai

Tumia hizo dawa Mungu ni mwema tatizo litaisha na utapata watoto, nina ndugu yangu aliteseka sana na ovarian cyst akazunguka kwa gainoz wengi lkn alikuja kupona na ana watoto. Utapona na utasahau
Amina mkuu
 
Pole sana dada, hangaika huko hospt lakini usikubali kufanyiwa operation, ukiona uvimbe bado upo hangaika na dawa za kienyeji,
Daah mke wangu ana tatizo kama lako
 
Pole sana dada, hangaika huko hospt lakini usikubali kufanyiwa operation, ukiona uvimbe bado upo hangaika na dawa za kienyeji,
Daah mke wangu ana tatizo kama lako
Yeah nitatumia fu dawa niliambiwa sio mkubwa kivile
 
Sio kwamba ninahisi bali ndio ukweli wenyewe, daktari hapaswi kutoa maelekezo ya kutumia dawa haijalishi anajua ama hajui.

Sasa ona huyo mwenzako kamwambia dada wa watu ameze double badala ya kubadilishia dawa. Angekutana na mfamasia asingeweza fanya huo upuuzi.
Kila Dr amesoma Pharmacology, na amesoma pharmacodynamic na pharmacokinetics sijui unamzungumzia Dr yupi!

Nafikiri suala hapa ni kwamba kila mtu anapoandikiwa dawa ni lazima ajue mechanism ya dawa na kwanini amemuandikia na si kusema au kuzuia anachokisema Dr.
 
Kila Dr amesoma Pharmacology, na amesoma pharmacodynamic na pharmacokinetics sijui unamzungumzia Dr yupi!

Nafikiri suala hapa ni kwamba kila mtu anapoandikiwa dawa ni lazima ajue mechanism ya dawa na kwanini amemuandikia na si kusema au kuzuia anachokisema Dr.
We jamaa sijui tatizo lako nini... tufanye umeshinda.
 
Ovary cyst .

Inategemea na historia ya kuumwa kwako.
Mimba ndo huondoa uvimbe daima.
Antibiotic kuna muda zinaleta athari sana.

NARUDIA inategemea na historia ya kuumwa kwako.
 
We jamaa sijui tatizo lako nini... tufanye umeshinda.
Siyo kwamba nimeshinda hatushindani humu, huu uzi unasomwa na jamii ya watu wengi na ndio maana tunashauri kabla ya kuandika rudia mara nyingi kusoma unachokiandika
 
Duh me inanichanganya kichwa kabla ya kutimiza lengo yenyewe inaniweka kwa hatari nafikia stage nachoka maan hyo mtoto naye anionei ata huruma kumtafuta kote ukoo still bado ataki kujitokeza inauma
Je umeolewa? Unaishi na mwanaume au upo kwenye mahusiano na mtu ambaye upo mbali naye? Umetafuta mtoto kwa muda gani sasa..? Una miaka mingapi ya ndoa/mahusiano? Au upo single ila ndo unahitaji kupata mtoto? Nijibu apo nijue nakusaidiaje.
 
Back
Top Bottom