BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,110
- Thread starter
- #81
Mkuu kuhusu HIV napima mara nyingi inakuwaga Negative.Mnabeti vipimo wazee.
Haiwezekani akafanye kila kipimo bhana...
Dalili zangu miaka yote ni hizo tu na nafuu naiona nikifanya Mazoezi ya yoga.
Sukari nimepima tena juzi hapa niko poa.
Ila nahisi hii ishu imetokana na Punyeto, nina wasiwasi kuna virutubisho havijabalansi kwenye mwili wangu