BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,111
Habari Wakuu, Natanguliza Shukrani
Mimi Ni Me Umri Miaka 33
Ni Miaka 6 Naishi Na Hili Tatizo Ila Kwa Sasa Mambo Yamenizidia
*Mwili Wangu Una Maumivu Makali Ya Ndani Kwa Ndani Hasa,Mabega, shingo,nyonga na mgongo na hata kichwa Kuwa Kizito (Sio Maumivu Ya kuminya Bali ni ya ndani mfano Ukinishika shingo Sihisi maumivu, Ila Nikiipa Movement Napata Maumivu)
*Viungo Kukaza Na Kufa Ganzi Hasa Mapaja, Mabega Na Shingo
*Uchovu Na Usingizi wa Mara kwa mara
*Kukosa Umakini Na Kujiamini Na Uwezo Mdogo Wa kumbukumbu
Napata Nafuu Kidogo nikifanya Mazoezi (yoga) Asubuhi (lisaa limoja) , hii Inanifanya Niwe Mtumwa wa Mazoezi, Lasivyo Hali Inakua Mbaya Zaidi.
Wakati Wa Mazoezi Napitia Maumivu Makali Ila Inanibidi Nifanye Ili Kuleta Unafuu
NB: Kuna kipindi niliwahi tumia Vidonge vya Neorotone Nilipata Nafuu ya Muda Mfupi Lakini Hali Ikaendelea
Sijawahi Anguka Wala Kupata Ajali
Nawaza Kwenda Muhimbili Ila Sijui Nikamuone Specialist Gani Au Nikapime Nini!!?
Samahanini Kwa Maelezo Marefu
Mimi Ni Me Umri Miaka 33
Ni Miaka 6 Naishi Na Hili Tatizo Ila Kwa Sasa Mambo Yamenizidia
*Mwili Wangu Una Maumivu Makali Ya Ndani Kwa Ndani Hasa,Mabega, shingo,nyonga na mgongo na hata kichwa Kuwa Kizito (Sio Maumivu Ya kuminya Bali ni ya ndani mfano Ukinishika shingo Sihisi maumivu, Ila Nikiipa Movement Napata Maumivu)
*Viungo Kukaza Na Kufa Ganzi Hasa Mapaja, Mabega Na Shingo
*Uchovu Na Usingizi wa Mara kwa mara
*Kukosa Umakini Na Kujiamini Na Uwezo Mdogo Wa kumbukumbu
Napata Nafuu Kidogo nikifanya Mazoezi (yoga) Asubuhi (lisaa limoja) , hii Inanifanya Niwe Mtumwa wa Mazoezi, Lasivyo Hali Inakua Mbaya Zaidi.
Wakati Wa Mazoezi Napitia Maumivu Makali Ila Inanibidi Nifanye Ili Kuleta Unafuu
NB: Kuna kipindi niliwahi tumia Vidonge vya Neorotone Nilipata Nafuu ya Muda Mfupi Lakini Hali Ikaendelea
Sijawahi Anguka Wala Kupata Ajali
Nawaza Kwenda Muhimbili Ila Sijui Nikamuone Specialist Gani Au Nikapime Nini!!?
Samahanini Kwa Maelezo Marefu