MSAADA KWA ANAYEWEZA KUFAFANUA HILI LA UAZIMAJI WA WACHEZAJI

Happycuit

JF-Expert Member
Aug 18, 2013
638
530
Mimi nikiwa ni mpenda soka haswaaaaaaaa nimeshtushwa na kushangazwa na hili la yanga kutaka kuazima mchezaji wa lipuli ADAM SALAMBA ili akawasaidie kuwaongezea nguvu ktk michuano ya kimataifa wanayoshiriki,na leo msemaji wao ameliongelea hili na kusema kuwa wanaruhusiwa kuongeza wachezaji watatu ili kuboresha kikosi chao
maswali yangu yanakuja hivi.......

JE,SHERIA HII IPO TOKA ZAMANI AU IMEANZA HIVI KARIBUNI?[maana hapo mwanzo sijawahi kuiona ikifanya kazi]

JE,SHERIA HII NI YA AFRIKA TU AU MPAKA ULAYA?[kwa mfano arseanal wanaweza kwenda kumuazima EDEN HAZARD,MOHAMMED SALAH na NGOLO KANTE endapo tu liverpool na chelsea watakuwa hawashiriki michuano ya kimataifa]

maana nimesikia ufafanuzi wake jamaa lakini una ukakasi kidogo.........

NB:HAYO MASWALI NIMEULIZA KWA KUTAKA KUJUZWA ENDAPO KUNA MTU ANAWEZA NISAIDIA ILI NIONGEZE ELIMU FULANI KTK SOKA ......

SHUKRANI
 
Labda anaenda kwa mkopo. Ndiyo kuazima kwenyewe.
Uongozi wa klabu ya Yanga umefunguka na kuwataka wapenzi wa soka nchini wafahamu kwamba lengo la wao kutaka kumchukua mshambuliaji wa Lipuli Adam Salamba ni kuiongezea nguvu safu ya ushambuliaji katika michezo ya kimataifa na wala siyo kumsajili kuitumikia Yanga kama wanavyodhani wao.

Ufafanuzi huo umetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Yanga, Dismas Ten baada ya kutokea sintofahamu kwa mashabiki wa soka wakidhani kitengo wanachotaka kukifanya Yanga ni kutaka kumchukua mchezaji huyo moja kwa moja ili akawasaidie katika michuano ya ligi na vinginevyo.

"Watu wengi wanatafsiri hili jambo vibaya au tofauti, kanuni CAF zinaruhusu kusajili wachezaji watatu kwaajili ya mashindano ya shirikisho Afrika na inaruhusu kumtumia mchezaji yeyote ambaye anachezea katika vilabu vya ndani ili mradi awe hajacheza mashindano ya kimataifa kwa hiyo 'techinical bench' walimuona Adam Salamba kuwa mchezaji mzuri na anaweza kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji katika kikosi chetu", amesema Dismas.

Dismas ameendelea kwa kusema "ndio maana tukafanya jitihada za kuwaandikia barua Lipuli FC kwamba tunamuomba huyu mchezaji kwaajili ya kutusaidia na kutuongezea nguvu kwenye mechi za kimataifa nasio kumsajili kama baadhi ya watu wanavyosema wao. Masuala ya usajili ni jambo jingine kama itatokea hivyo basi tutakwenda kwa Lipuli kuzungumza masuala hayo na kwenda hatua nyingine".

Kwa upande mwingine, Dismas amewataka wanalipuli wasiwe na shaka na mchezaji wao Salamba kwa kuwa dirisha la usajili bado halijafunguliwa ila wanachokifanya wao nikutaka kuongeza nguvu katika kikosi chao ili waweze kupambana vilivyo katika mechi zao za kimataifa zinazoendelea kwa mujibu wa ratiba ya CAF.
 
Mimi nikiwa ni mpenda soka haswaaaaaaaa nimeshtushwa na kushangazwa na hili la yanga kutaka kuazima mchezaji wa lipuli ADAM SALAMBA ili akawasaidie kuwaongezea nguvu ktk michuano ya kimataifa wanayoshiriki,na leo msemaji wao ameliongelea hili na kusema kuwa wanaruhusiwa kuongeza wachezaji watatu ili kuboresha kikosi chao
maswali yangu yanakuja hivi.......

JE,SHERIA HII IPO TOKA ZAMANI AU IMEANZA HIVI KARIBUNI?[maana hapo mwanzo sijawahi kuiona ikifanya kazi]

JE,SHERIA HII NI YA AFRIKA TU AU MPAKA ULAYA?[kwa mfano arseanal wanaweza kwenda kumuazima EDEN HAZARD,MOHAMMED SALAH na NGOLO KANTE endapo tu liverpool na chelsea watakuwa hawashiriki michuano ya kimataifa]

maana nimesikia ufafanuzi wake jamaa lakini una ukakasi kidogo.........

NB:HAYO MASWALI NIMEULIZA KWA KUTAKA KUJUZWA ENDAPO KUNA MTU ANAWEZA NISAIDIA ILI NIONGEZE ELIMU FULANI KTK SOKA ......

SHUKRANI
Duh, umesahau tu. Yanga ilipofika makundi club bingwa tulishaga azima wachezaji Simba.
 
Yanga kweli ma k... Si wamchukue kichuya/okwi
sasa hao si wameshashiriki haya mashindano mwaka huu na hata kama wasingekuwa wameshiriki sidhani kama wangeweza kuwachukua kutokana na asili ya timu zenyewe
 
Duh, umesahau tu. Yanga ilipofika makundi club bingwa tulishaga azima wachezaji Simba.
sijasahau mkuu mimi nimeanza kufuatilia soka kuanzia miaka ya 2004 inawezekana hayo mengi ya nyuma nikawa siyajui
 
Mimi nikiwa ni mpenda soka haswaaaaaaaa nimeshtushwa na kushangazwa na hili la yanga kutaka kuazima mchezaji wa lipuli ADAM SALAMBA ili akawasaidie kuwaongezea nguvu ktk michuano ya kimataifa wanayoshiriki,na leo msemaji wao ameliongelea hili na kusema kuwa wanaruhusiwa kuongeza wachezaji watatu ili kuboresha kikosi chao
maswali yangu yanakuja hivi.......

JE,SHERIA HII IPO TOKA ZAMANI AU IMEANZA HIVI KARIBUNI?[maana hapo mwanzo sijawahi kuiona ikifanya kazi]

JE,SHERIA HII NI YA AFRIKA TU AU MPAKA ULAYA?[kwa mfano arseanal wanaweza kwenda kumuazima EDEN HAZARD,MOHAMMED SALAH na NGOLO KANTE endapo tu liverpool na chelsea watakuwa hawashiriki michuano ya kimataifa]

maana nimesikia ufafanuzi wake jamaa lakini una ukakasi kidogo.........

NB:HAYO MASWALI NIMEULIZA KWA KUTAKA KUJUZWA ENDAPO KUNA MTU ANAWEZA NISAIDIA ILI NIONGEZE ELIMU FULANI KTK SOKA ......

SHUKRANI
WE LIGI IMEKUSHINDAA KAA KIMYA WALIO KWENYE LIGI ZAO ZA KIMATAIFA KAULIZE HAJI MANARAA AKUSAIDIE
 
Yanga kweli ma k... Si wamchukue kichuya/okwi
Wewe na wewe usipende kuhalalisha ujinga wako kwa kutukana watu wa Yanga .
Umeambiwa wanaruhusiwa kuongeza wachezaji watatu wa ndani ambao hawajacheza mashindano ya kimataifa . Sasa wewe hujui kuwa Kichuya na Okwi wamecheza shirikisho ?!

Watu wanapoleta nyuzi zao au kutoa maoni jaribu kusoma na kuelewa nd'o utoe maoni ; tena bila kujaribu kutukana .
 
sijasahau mkuu mimi nimeanza kufuatilia soka kuanzia miaka ya 2004 inawezekana hayo mengi ya nyuma nikawa siyajui
Wakati unacomment ulitakiwa kucoment kama mtu uliyeanza kufuatilia soka hivi karibuni , siyo kujifanya unajua wakati umezaliwa juzi tu
 
yanga bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hahahah yaani huu mtimu hata unipe pesa siushabikii hahah yaani imefulia mpaka inaazima wachezaji
 
Back
Top Bottom