Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Bawasiri sio lazima ufanyie operation kuna ndugu yangu ilimsumbua sana lakini alipopata tiba ya asili hadi sasa ana mwaka wa nne haijamrudia tena zipo dawa za asili bila operation.
 
Mkuu! Achana na hao wanaotaka pesa zako ili upone... mimi nakupa tiba ya bure kabisa sitaki hata mia yako kwa sababu mimi pia nilipatwa na ugonjwa huu na nikapata tiba humu mitandaoni sijalipia hata mia zaidi ya bando tuuu... Nenda duka la madawa ya asili popote unapopataka mimi sina duka... ukanunue mafuta ya Nyonyo(Castrol oil) uwe unapakaza hapo kwenye shida kila siku wakati unataka kulala mpaka iondoke yenyewe... mimi nimepona kabisa kwa tiba hiyo na haijachukua hata wiki...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu je kwa bawasiri ya ndani inayotoka wakati wa kujisaidia na kurudi yenyewe baadaye (daraja la pili), mafuta hayo yaweza saidia pia?
 
Nilipona na nikamponesha mtu wangu wa karibu.

Nilitwanga alovera nilichanganya katika maji sikumbuki yalikuwa kiasi gani kwani nilikuwa najifanyia majaribio mwenyewe kabla sijaenda hospital nilikunywa ndani
ya week moja asubuhi grass moja kisha najipaka ute wa alovera katika bawasiri na jioni hivyo hivyo.Bawasiri ilitoweka nikampa mtu wangu wa karibu ajitibu kwa njia hiyo akapona.

Ila mchana nilikuwa nakunywa grass moja ya mwarobaini

Grass ndogo ya maji ya kunywa.
Jaribu nawe Wenda ukapona.
Ngoja nami nitest hii kitu. Shukran mkuu kwa somo
 
dawa yake ni ipi, je mtu akifanyiwa upasuaji inachukua siku ngapi kupona?
hii kitu ni kweli inatesa sana, Dawa nilizoshuhudia watu wa karibu wametumia na kupona ni mbili, lakini naamini kuna dawa nyingi za kuponesha huo ugonjwa.

Dawa hizo ni :
* Mafuta ya nazi kama ni kinyama kilichoota kwa nje na huwa kinauma sana. (paka kila siku asubuhi na jioni)

* Mafuta ya Nyonyo (castor oil) haya nayo paka asubuhi na jioni. utapona kabisa.

Note: mimi sio daktari nimeshauri tu kwa kuona watu wa karibu yangu wakipona.

Ahsante.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikinywa sana maji, kula mboga za majani na matunda. Naomba kama mtu ambaye alishawahi kuumwa bawasiri/hemorrhoids na akapona kabisa, anijuze alifanya nini akapona.

Ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
tumia utomvu wa ndizi kupakaza eneo lenye tatizo siku 5-7 utakua umemaliza tatizo
 
hii kitu ni kweli inatesa sana, Dawa nilizoshuhudia watu wa karibu wametumia na kupona ni mbili, lakini naamini kuna dawa nyingi za kuponesha huo ugonjwa.

Dawa hizo ni :
* Mafuta ya nazi kama ni kinyama kilichoota kwa nje na huwa kinauma sana. (paka kila siku asubuhi na jioni)

* Mafuta ya Nyonyo (castor oil) haya nayo paka asubuhi na jioni. utapona kabisa.

Note: mimi sio daktari nimeshauri tu kwa kuona watu wa karibu yangu wakipona.

Ahsante.
Samahani, je kwa bawasiri ya ndani, dawa yake ni ipi mkuu?
 
Habari za asubuhi wakuu humu ndani. Samahani naomba msaada kwa mtu yeyote anayejua tiba asili inayoweza kusaidia kuondoa tatizo la bawasiri/ uvimbe / maumivu sehemu ya haja kubwa anifahamishe kabla mambo hayajaharibika zaidi..
 
Mkuu tatizo lako linatibika kwa uhakika kabisa.

Kuna babu mmoja yuko anatibu tatizo hilo kwa miti shamba na amewatibu wengi sana ila yuko kanda ya ziwa (Simiyu). Na hivi hata mwezi haujaisha amemtibu mtu na amepona, yeye sio mganga wa kienyeji ila sema tu anajua dawa mbali mbali za magonjwa na hasa tatizo la bawasiri (mang'ondi) ndio limemfanya akawa kama mganga maana wengi wamekuwa wakipona kwake na huwa anasema kwa tatizo hilo hakuna haja ya kuhangaika kumeza au kupaka kemikali za hospitali maana kwake ni tatizo dogo sana.

Kikwao ugonjwa huo wanaita Mang'ondi.

Kuna bawasiri ile inayotokea kwenye njia ya haja kubwa na ile inayotokea kwa sehemu za siri kwa wanawake.

Kama utakuwa na uwezo wa kufika kwake nina uhakika tatizo hilo litakuwa historia kwako kama Mungu ikimpendeza.
Habari naomba uni PM namba za huyo mtu mwenye dawa please
 
Wahanga tumieni dawa inaitwa CONSTRELAX na NOVEL DEPILE CAPSULES. Ni virutubisho na vinatibu.
 
Ni muda sasa hili tatizo linanisumbua ,ilianza kama kinyesi kinakua cha pingilipingili kigumu.kikiwa kimechanganyikana na damu,wakati wa kunya ni shida,maumivu makali sana,,wakati mwingine muwasho ile mbaya nikaenda hospital nikapewa dawa tatizo likapotea.pia kuna dawa za kienyeji nilikua natumia .
Hali imejirudia,niliweka kioo kuangalia nikaona nyuma ya mfereji wa tundu la mkundu kuna kanyama kameota,kana fanana na ngozi tu ya kawaida,nisipo kunya nikakaa kama siku mbili pale panaacha kuuma,nikinya baada ya nusu saa maumivu yanaanza kwa ndani ,na pembeni pamevimba kama jipu ,na zaidi ya wiki sasa,nifanyaje ndugu zangu?,namawazo sana,je ntapona kweli?
 
Back
Top Bottom