Poker face
Member
- Mar 12, 2013
- 47
- 0
Kwa wale form 6 tunaoripoti katika kambi tulizopangiwa je kuna maelekezo yoyote kuhusu vitu tunavyotakiwa kwenda navyo mfano nguo n.k. ? Kwa anayejua anisaidie hapo.
dah mkuu mwenyewe naenda ruvu jkt but still now sielewi nn nibebe.mwenye uelewa atudokeze ,tusije beba vitu tukaishia kupata kipigo heavy:nod: