Msaada kwa anayejua kuhusu jkt

Poker face

Member
Mar 12, 2013
47
0
Kwa wale form 6 tunaoripoti katika kambi tulizopangiwa je kuna maelekezo yoyote kuhusu vitu tunavyotakiwa kwenda navyo mfano nguo n.k. ? Kwa anayejua anisaidie hapo.
 
Back
Top Bottom