Nawasalimu wanajf,mimi ni mhitimu wa elimu ya juu katika kozi ya uhasibu yaani Bcom Accounting,ninaomba kwa yeyote anayejua jinsi ya kuomba maombi ya ualimu serikalini anisaidie kwani nahitaji kuwa mwalimu wa bookeeping,commerce au accounting,plse nisaidieni!