A akamula Member Sep 12, 2014 56 30 Jun 14, 2017 #1 Naomba msaada hapa jamvini kwa anayefahamu jinsi ya kurudisha files na folders kutoka kwenye external ambayo imezima ghafla
Naomba msaada hapa jamvini kwa anayefahamu jinsi ya kurudisha files na folders kutoka kwenye external ambayo imezima ghafla
Erickford4 JF-Expert Member May 22, 2017 1,133 1,094 Jun 14, 2017 #2 mambo ya IT hayo... ngoja wataalamu waje
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,988 69,380 Jun 14, 2017 #3 Tafuta wataalamu kwenye kampuni za kurecover data
ashomile JF-Expert Member Mar 1, 2017 2,625 2,443 Jun 17, 2017 #5 TUMIA MIN TOOLS FOR DATA RECOVERY INA KEYS ZAKE BUT UKISHINDWA NITAFUTE WHATSSAP NIKUPE HIYO SOFTWARE PAMOJA NA KEYS ZAKE CONTACTS ; 0629166514
TUMIA MIN TOOLS FOR DATA RECOVERY INA KEYS ZAKE BUT UKISHINDWA NITAFUTE WHATSSAP NIKUPE HIYO SOFTWARE PAMOJA NA KEYS ZAKE CONTACTS ; 0629166514