Van Pauser
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 417
- 417
Habari za muda huu wapendwa. Natumaini mnaendelea vyema na mapambano ya COVID 19 bila shaka Mungu anawasimamia kila iitwapo leo.
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.. Mimi kama kijana ambaye mwenye ari ya kufanya kilimo nahitaji kuagiza tractor nje ya nchi ila kinachonipa ugumu ni gharama za kodi ya TRA maana nimefuatilia tractor kwa nje ya nchi sio bei kubwa sana kama ilivyo hapa nchini...
Kwa mwenye uelewa juu ya kodi za TRA zilivyo ninaomba anipe ujuzi maana nahitaji sana tractor.
Nawasilisha
Van Pauser.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.. Mimi kama kijana ambaye mwenye ari ya kufanya kilimo nahitaji kuagiza tractor nje ya nchi ila kinachonipa ugumu ni gharama za kodi ya TRA maana nimefuatilia tractor kwa nje ya nchi sio bei kubwa sana kama ilivyo hapa nchini...
Kwa mwenye uelewa juu ya kodi za TRA zilivyo ninaomba anipe ujuzi maana nahitaji sana tractor.
Nawasilisha
Van Pauser.
Sent using Jamii Forums mobile app