tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,810
- 15,068
Wakuu mmeamkaje huko mlipo?sasa,miezi kama miwili iliyopita nilidrop ka Cv kangu kwenye kampun flan hapa tz,jana wamenitumia e-mail yenye form na sehemu za kujaza particulars zangu,wamenambia niitume kabla ya tarehe 8/may,hivi huwa ina lengo gani na wkt cv yangu tayari wanayo?
Asanteni.
Asanteni.