It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Tafadhar wana Jf naombeni msaada nahitaji kufahamu uwezo wa shule ya Sangu katika kutoa taaluma bora. Nina mdogo wangu ambaye anatalajia kujiunga na masomo ya kidato cha tano mwakani. Nilimuuliza angependa kusoma shule ipi A'level akanitajia Shule hiyo.