Yasin Yahya
Member
- Jan 18, 2013
- 33
- 0
Eti results slip zinatoka lini?
Eti results slip zinatoka lini?
Hatuendi hivyo mkubwa mi nimeuliza kwa anae fahamu lini zinatoka kwani kuna ubaya gani ?
Mim nikiwa kama binadamu sijakamilika nimesahau kuandika kam ni za 0-level au A-lvl ila nazungumzia za f0rm 4 za mat0keo mapya