Kiwangwa Son
Senior Member
- Nov 29, 2018
- 178
- 115
Wakuu naomba msaada nimefungua account ya maombi sua nimefuata taratibu zote wakanipa control number nikalipia.
Baada ya hapo nika log in lakini ile dashboard inasoma 2018/2019 sasa naomba kuuliza kwa ambaye ame apply...
Je ndo ipo hivyo au mimi nimeingia sehemu ambapo sio sahihi
Msaada tafadhari,nawasilisha.
Baada ya hapo nika log in lakini ile dashboard inasoma 2018/2019 sasa naomba kuuliza kwa ambaye ame apply...
Je ndo ipo hivyo au mimi nimeingia sehemu ambapo sio sahihi
Msaada tafadhari,nawasilisha.