samaki wa mbao
Member
- Apr 15, 2021
- 82
- 123
Habari wakuu!!
Hadi Sasa nimejaribu Sana kuapply NACTE lakini nimeshindwa,
Naomba msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia au amefanikiwa kumaliza kuapply NACTE!!
Mpaka Sasa nimejisajili na password na username wamenipa, tatizo kwenye kuchagua chuo, kila niki-log in ili nichague chuo inafeli, sijui tatizo Nini
Asantee
Hadi Sasa nimejaribu Sana kuapply NACTE lakini nimeshindwa,
Naomba msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia au amefanikiwa kumaliza kuapply NACTE!!
Mpaka Sasa nimejisajili na password na username wamenipa, tatizo kwenye kuchagua chuo, kila niki-log in ili nichague chuo inafeli, sijui tatizo Nini
Asantee