Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,942
- 3,604
Sio mimi bali ni mdogo wangu yuko huko...now 01/04/2018 ana wiki ya pili huko....hali iliyoko anayumba baada ya kuibiwa kila kitu ikiwemo passport....
Amejishikiza kwa mbongo nae maseke vilevile...alienda kufanya kazi kupiga stika kama alivyopewa mchongo na mwenyeji ambae now kamkimbia mawasiliano kakata....anaishi akiwa na form ya polis ya kupotelewa vitu hivyo....tumemtumia hela ya kula had katufilis tunafikiria kuuza vitu....kwa sasa hata nauli yakurudia hana ila pia anataka kukomaa mambo yakae sawa....
Ana ujuzi wa kazi so ni suala la kuweka mambo sawa...yupo mtaa wa 93 juta braamfontein johannesburg....kikubwa mpaka nafungua uzi huu ni hofu tunayopata juu ya hali yake ambayo yeye anasema atakomaa kufanikisha anafanya sanaa yake tatizo ni kuwa kwa sasa anaumwa na hajala baada ya vijiela tulivyo mpa kumwishia...kama ww ni mbongo upo mazingira hayo tafadhali jaribu kuwasiliana na huyu mtu walau upe ushauri kama sio msaada mwingine....
No ya alomstir kwa sasa ni +27 843161230 mdogo anaitwa emmanuel dar wanamjua kama mzee wa logo....naamini sitajutia juu ya uzi huu sio mm ni mdogo wangu...mimi napambana kutia vyuma griss.
Mimi 0713055107 zote ziko whatsap
Amejishikiza kwa mbongo nae maseke vilevile...alienda kufanya kazi kupiga stika kama alivyopewa mchongo na mwenyeji ambae now kamkimbia mawasiliano kakata....anaishi akiwa na form ya polis ya kupotelewa vitu hivyo....tumemtumia hela ya kula had katufilis tunafikiria kuuza vitu....kwa sasa hata nauli yakurudia hana ila pia anataka kukomaa mambo yakae sawa....
Ana ujuzi wa kazi so ni suala la kuweka mambo sawa...yupo mtaa wa 93 juta braamfontein johannesburg....kikubwa mpaka nafungua uzi huu ni hofu tunayopata juu ya hali yake ambayo yeye anasema atakomaa kufanikisha anafanya sanaa yake tatizo ni kuwa kwa sasa anaumwa na hajala baada ya vijiela tulivyo mpa kumwishia...kama ww ni mbongo upo mazingira hayo tafadhali jaribu kuwasiliana na huyu mtu walau upe ushauri kama sio msaada mwingine....
No ya alomstir kwa sasa ni +27 843161230 mdogo anaitwa emmanuel dar wanamjua kama mzee wa logo....naamini sitajutia juu ya uzi huu sio mm ni mdogo wangu...mimi napambana kutia vyuma griss.
Mimi 0713055107 zote ziko whatsap