kabamanya
Senior Member
- Jun 20, 2013
- 163
- 44
Ndugu zangu habari za asubuhi,
Nimejitokeza hapa kuwaomba mnisaidie kupata katiba ya CUF, au muundo wa uongozi wa CUF, kwa maana ya ni vyombo gani vya maamuzi vipo CUF na ni wapi wajumbe wake, ni nani alichukua nafasi ya Professor Lipumba, na Mtatiro? kama unaweza kuwa na taarifa hizi kwa soft copy au hard copy nijulishe/naomba msaada wako.
Nitashukuru sana kwa msaada wako mwana jamvi.
mawasiliano akabamanya@gmail.com
+255762040330
Nimejitokeza hapa kuwaomba mnisaidie kupata katiba ya CUF, au muundo wa uongozi wa CUF, kwa maana ya ni vyombo gani vya maamuzi vipo CUF na ni wapi wajumbe wake, ni nani alichukua nafasi ya Professor Lipumba, na Mtatiro? kama unaweza kuwa na taarifa hizi kwa soft copy au hard copy nijulishe/naomba msaada wako.
Nitashukuru sana kwa msaada wako mwana jamvi.
mawasiliano akabamanya@gmail.com
+255762040330