Konki kichaa
Senior Member
- May 18, 2018
- 103
- 72
Wakuu kwema?
Naomba nifahamu gharama ya ada na gharama za hostel kwa vyuo vya kilimo vilivyo chini ya wizara ya kilimo hususani chuo cha ilonga-kilosa na Naliendele mtwara
Asante
Naomba nifahamu gharama ya ada na gharama za hostel kwa vyuo vya kilimo vilivyo chini ya wizara ya kilimo hususani chuo cha ilonga-kilosa na Naliendele mtwara
Asante