Unatuma file aina gani?wakuu,
msaada kuhusu configuration za mms za voda, nahitaji kutuma mms kwa mtu.
nmejaribu kupiga huduma kwa wateja lakini hawapokei simu. nikajaribu kutuma sms ya neno mms kwenda 15300 lakini situmiwi configurations
Wapigie watapokea tu,sina file lolote.
nataka config. niziandike manually
kwenye setting yako ya internet kwenye MMS APN andika neno MMS then test kutumiawakuu,
msaada kuhusu configuration za mms za voda, nahitaji kutuma mms kwa mtu.
nmejaribu kupiga huduma kwa wateja lakini hawapokei simu. nikajaribu kutuma sms ya neno mms kwenda 15300 lakini situmiwi configurations
kuna hii kampun ya kichna nilikua nataka ajira, nina namba zao. wamenambia nitume copy za vyet kwa mms. wao wanasema ni rahs kwao kufanya analyss ya vyet vya waliomba ajira haraka kama wote tukitumia mms.Wapigie watapokea tu,
Nikajua unashida ya kutuma files ,nikataka nikushaur tu uachane na mms,now days means zipo kibao tena advanced.
asanteI guess hamna mtandao unafanya MMS tena Bongo!
Mm kuna mda huwa naandika message inafika 1KB tena ndo ukiweka Emoji fasta 1KB inafika kwa maneno machache tu,Ukibonyeza Send haiendi inabaki tu ina Load
Ila Vodacom nkiweka sim card wana set hivi ila nahisi hizi ni settings za zamani tena haziko valid wawezza jaribu au uka eliminate hiyo part ya MMSC
View attachment 417863
View attachment 417864
Voda bado wa natuma setting za Mms, jaribu.MMS inawezekana kutuma ukiwa TZ au zimefutwa?
Wanachonikera mimi, ukiweka ushairi mrefuuuuu kwenye meseji hauend unaload tu mzee had keroVoda bado wa natuma setting za Mms, jaribu.
Hilo ni Tatizo la simu mkuu sio mtandao,Wanachonikera mimi, ukiweka ushairi mrefuuuuu kwenye meseji hauend unaload tu mzee had kero
DahHilo ni Tatizo la simu mkuu sio mtandao,
Kwa wenzetu nchi za magharibi gharama za simu ni kubwa sana hivyo msg ikiwa ndefu wanaibadili kuwa Mms ili ikusaidie gharama,
Kibongo bongo msg rahisi sana hatuhitaji Hilo hivyo inatukera.
Kuondoa hii kero nenda setting za msg utakuta option ya ku convert long msg kuwa Mms, untick na haitafanya hivyo tena.
Dah ngoja niende, thanks manHilo ni Tatizo la simu mkuu sio mtandao,
Kwa wenzetu nchi za magharibi gharama za simu ni kubwa sana hivyo msg ikiwa ndefu wanaibadili kuwa Mms ili ikusaidie gharama,
Kibongo bongo msg rahisi sana hatuhitaji Hilo hivyo inatukera.
Kuondoa hii kero nenda setting za msg utakuta option ya ku convert long msg kuwa Mms, untick na haitafanya hivyo tena.
Dah mwanangu nimeenda settings sijaona hiyo option ila nimejaribu kutumia messenger imekubali, nimetuma story ndefu kinoma imeenda. Kweli hii ni shida ya sms app ya simu sio mtandao. Thanks a lot.Hilo ni Tatizo la simu mkuu sio mtandao,
Kwa wenzetu nchi za magharibi gharama za simu ni kubwa sana hivyo msg ikiwa ndefu wanaibadili kuwa Mms ili ikusaidie gharama,
Kibongo bongo msg rahisi sana hatuhitaji Hilo hivyo inatukera.
Kuondoa hii kero nenda setting za msg utakuta option ya ku convert long msg kuwa Mms, untick na haitafanya hivyo tena.
Jaribu kutumia mesenger app ya Facebook mkuuwakuu,
msaada kuhusu configuration za mms za voda, nahitaji kutuma mms kwa mtu.
nmejaribu kupiga huduma kwa wateja lakini hawapokei simu. nikajaribu kutuma sms ya neno mms kwenda 15300 lakini situmiwi configurations
Nasetije SMS app iweze kufanikiwa kutuma MMS?Voda bado wa natuma setting za Mms, jaribu.