Habari
Natumia lg smart tv uhd651V lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vijimstari kwa mbali kwenye screen hasa napokuwa naangalia mpira.
Mwanzo nilidhan labda niscratches nikajaribu kupangusa kwa kitambaa bila mafanikio. Hii inamaana kwamba hii tv imekuwa damaged au?
Natumia lg smart tv uhd651V lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vijimstari kwa mbali kwenye screen hasa napokuwa naangalia mpira.
Mwanzo nilidhan labda niscratches nikajaribu kupangusa kwa kitambaa bila mafanikio. Hii inamaana kwamba hii tv imekuwa damaged au?