Msaada: Kutenganisha facebook na messenger

wakurochi

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
2,647
2,937
Habari Watalaam,
Naomba mwenye kufahamu kama inawezekana nikafuta facebook nikabaki na ile messenger yake tu anielekeze.

Hii imetokana na siku moja niliaibika sana baada ya kukuta page ya rafiki yangu mmoja imejaa picha chafu za porn. Na binti zangu huwa wanaazima simu mara nyingine ingawa wana simu zao.

Kwa mfano ilikuwepo picha moja mbaya pale na title" angalia demu anakali mb..."
nikaja kujua wiki nzima zilikuwepo kwenye fb. Hii kitu sio nzuri na sielewi zinaingiaje au jamaa yangu nduo anatembekea site hizo.?

Basi tusaidiane kwa hilo kama inawezekana
 
Sasa mkuu kesi ya fecebook unaleta huku mzee
FB_IMG_1541579577086.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa umri na heshima yako mi nakushauri bora tu ufute zote facebook na hio messenger yake.

Maendeleo hayana chama
 
Habari Watalaam,
Naomba mwenye kufahamu kama inawezekana nikafuta facebook nikabaki na ile messenger yake tu anielekeze.

Hii imetokana na siku moja niliaibika sana baada ya kukuta page ya rafiki yangu mmoja imejaa picha chafu za porn. Na binti zangu huwa wanaazima simu mara nyingine ingawa wana simu zao.

Kwa mfano ilikuwepo picha moja mbaya pale na title" angalia demu anakali mb..."
nikaja kujua wiki nzima zilikuwepo kwenye fb. Hii kitu sio nzuri na sielewi zinaingiaje au jamaa yangu nduo anatembekea site hizo.?

Basi tusaidiane kwa hilo kama inawezekana
Uninstall hiyo facebook iache messenger itaendelea kufanya kazi
 
Naona unarahisisha kuna mtu mwingine mna mahusiano ya kibiiashara kumfuta ni sawa. Nae anasema hakuziweka hizo pocha. Ila nilitaka isitokee tena nina marafiki mpaka nje ya nchi tunatrmbeleana halafu wanakuta porn sites. Bora kutoa fb yote nibaki kuwasiliana na mesenger. Nashukuru kwa msaada. Ila madhara yake ni mabaya sana.
Ukiona mtu anatuma picha fb huzipendi si umfute urafiki, easy tu. Shida nene' ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Download applock unfunga applications hutaki watu waingie without your pernission.


Naona unarahisisha kuna mtu mwingine mna mahusiano ya kibiiashara kumfuta ni sawa. Nae anasema hakuziweka hizo pocha. Ila nilitaka isitokee tena nina marafiki mpaka nje ya nchi tunatrmbeleana halafu wanakuta porn sites. Bora kutoa fb yote nibaki kuwasiliana na mesenger. Nashukuru kwa msaada. Ila madhara yake ni mabaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom