Habari Watalaam,
Naomba mwenye kufahamu kama inawezekana nikafuta facebook nikabaki na ile messenger yake tu anielekeze.
Hii imetokana na siku moja niliaibika sana baada ya kukuta page ya rafiki yangu mmoja imejaa picha chafu za porn. Na binti zangu huwa wanaazima simu mara nyingine ingawa wana simu zao.
Kwa mfano ilikuwepo picha moja mbaya pale na title" angalia demu anakali mb..."
nikaja kujua wiki nzima zilikuwepo kwenye fb. Hii kitu sio nzuri na sielewi zinaingiaje au jamaa yangu nduo anatembekea site hizo.?
Basi tusaidiane kwa hilo kama inawezekana
Naomba mwenye kufahamu kama inawezekana nikafuta facebook nikabaki na ile messenger yake tu anielekeze.
Hii imetokana na siku moja niliaibika sana baada ya kukuta page ya rafiki yangu mmoja imejaa picha chafu za porn. Na binti zangu huwa wanaazima simu mara nyingine ingawa wana simu zao.
Kwa mfano ilikuwepo picha moja mbaya pale na title" angalia demu anakali mb..."
nikaja kujua wiki nzima zilikuwepo kwenye fb. Hii kitu sio nzuri na sielewi zinaingiaje au jamaa yangu nduo anatembekea site hizo.?
Basi tusaidiane kwa hilo kama inawezekana