Msaada: Kusoma Programming languages

maringeni

JF-Expert Member
Oct 8, 2013
3,198
3,888
Salaam wanajamvi,
Kuna dogo anatamani kusoma programming languages zitakazomwezesha kutegeneza programs zitakazoweza kutumika kwenye simu zinazotumia android na nyingenezo.
Elimu yake ni kidato cha 6 na yupo Dar.
Kama kuna private tutor au short course tafadhali tungependa sana.
Angependa kujua muda wa kujifunza basic na intermediate.
 
Salaam wanajamvi,
Kuna dogo anatamani kusoma programming languages zitakazomwezesha kutegeneza programs zitakazoweza kutumika kwenye simu zinazotumia android na nyingenezo.
Elimu yake ni kidato cha 6 na yupo Dar.
Kama kuna private tutor au short course tafadhali tungependa sana.
Angependa kujua muda wa kujifunza basic na intermediate.

kama kamaliza form six anasubiri matokeo na angependa walau kwa hii likizo yake kuwa anapata A B C za programming

Online Learning
Aanze na Scratch hii ni MIT cartoon like training inayomfundisha mwanafunzi Syntax za programming kwa Pseudocodes
Scratch - Imagine, Program, Share

au afanye CS50 wanatoa Havard iko free eDX
Introduction to Computer Science

Computer Science Hypothetical Curriculum + Tuts
aGupieWare: Online Learning: A Bachelor's Level Computer Science Program Curriculum (Updated)

Ila hii ni simply A B Cs kama uelewa wake ni mkubwa sana itampeleka level kubwa sana ila the definitive pathway ni kusoma Bcs of Computer Science au related programs

Class Learning

Tovuti ya ucc wanaonesha wanafundisha intro to programming for 8weeks kwa 300,000/=

http://www.ucc.co.tz/sites/default/files/uploads/Fee_Structure.pdf
 
Kama mpenzi wa Android Inabidi aanze na Java. I guess Inabidi nitafute muda wa kuanza tena zile Trainings zangu japo last time changamoto zilikuwa nyingi
 
huko mbali kwanza html yenyewe anajua??
Hiyo kweli , kwa sasa naandika app ya android ya kuangalia matokeo ya Necta (nitaipost google play week hii) kwa kutumia qt creator Languages ninazotumia katka kuandika app hii ni qml, javascript xml kwa kutengeneza frontend(UI) na C++ kwa ajir ya backend. Pia knowledge ya html nimeitumia katika app kutengeneza html parser
2016_06_26_16-51-30-png.360372
 

Attachments

  • 2016_06_26_16.51.30.png
    2016_06_26_16.51.30.png
    10 KB · Views: 84
Hiyo kweli , kwa sasa naandika app ya android ya kuangalia matokeo ya Necta (nitaipost google play week hii) kwa kutumia qt creator Languages ninazotumia katka kuandika app hii ni qml, javascript xml kwa kutengeneza frontend(UI) na C++ kwa ajir ya backend. Pia knowledge ya html nimeitumia katika app kutengeneza html parser
2016_06_26_16-51-30-png.360372
imekaa poa sana kijana,jitahidi ukimaliza tupia humu ntakuwa wakwanza kuicheki
 
Chura kwa applications ambazo sio real time sioni advantage ya anayeanza kujifunza C++ na QT. Kwanza inabidi ajifunze language kama tatu, QML, JS na C++. Wakati akiamua kutumia Android native Sdk anapaswa kujua Java tu.

Kuna njia nyingi za kuandika Android app, kama kutumia Cordova au Mono touch. Lakini best ni kutumia Java na kama kuna Issue performance critical just use NDK au JNI directly.

That being said kuna vitu unakosa mfano huwezi ifanya app yako iwe inacomply na material design na hivyo kuwa na sura ambayo haipendezi.
 
Chura kwa applications ambazo sio real time sioni advantage ya anayeanza kujifunza C++ na QT. Kwanza inabidi ajifunze language kama tatu, QML, JS na C++. Wakati akiamua kutumia Android native Sdk anapaswa kujua Java tu.

Kuna njia nyingi za kuandika Android app, kama kutumia Cordova au Mono touch Lakini best ni kutumia Java na kama kuna Issue performance critical just use NDK au JNI directly.

That being said kuna vitu unakosa mfano huwezi ifanya app yako iwe inacomply na material design na hivyo kuwa na sura ambayo haipendezi.

Huwa napenda kudesign UI from Scratch ,sipende kutumia controls za google ktk app zangu ,,Material design sio kitu important kwangu.. Qt creator pia inasupport java .. mfano katika app hii nimetumia java katika ku-show Toasts. issue ya performance sio tatizo kwani qt creator inatumia msaada wa both NDK and JNI katika Ku- compile hizo language zote kwenda kwenye .dex kwa ajiri ya Dalvik virtual machine
 
mi namshauri tu kama anapenda programming apply computer science au engineering chuo kikuu kuna mambo mengi ya kujifunza kabla ya hizo android development na software. Maana tunaosoma tunaelewa mziki wake

Ushauri mzuri sana huu, mara nyigi madogo wengi hupenda kuanza programming kwa kuunga unga lugha hii lugha ile, lakini mambo ya msingi ya tarakishi hawayafahamu vizuri. Ni vizuri ukiwa na muda kama dogo ukachukua fursa kusoma spectrum yote ya sayansi ya kompyuta. Uwe na uelewa wa mambo yote ya msingi kwenye data structures, algorithms, data flow, hardware, networking na kadhalika.

Hapo baadaye kidogo hata ukiingia kwenye programming, unakua na base ya kutosha.
 
Back
Top Bottom