Konunu Kokojako
Member
- Mar 1, 2011
- 20
- 1
Habari zenu.
Mimi ni kijana nina Stashahada ya kawaida (ordinary Diploma) Ya Ustawi wa Jamii pamoja na Uzoefu kidogo katika kufanya kazi za jamii nilioupata kabla ya kujiunga na Chuo kwa kufanya kazi za kujitolea katika mashirika tofauti.
Nina mapenzi makubwa na fani yangu lakini bahati mbaya ni kwamba Tangu nimemaliza Chuo Mwaka jana sijapata ajira na hivyo huwa nafanya kazi za muda mfupi pale ninapohitajika mahali fulani na hivyo najikuta natumia muda wangu bila kuwa na kazi rasmi.
Nikashauriana na familia yangu na kufikia Uamuzi wa kusajili Taasisi ambayo itafanya kazi za kijamii ambapo nitashiriki kwa kiasi kikubwa pamoja na kujenga uwezo kwa vijana waliopo vyuoni na wanaomaliza mafunzo kupata uzoefu.
Swali langu ni Je, kwa elimu yangu nina uwezo wa kuanzisha Taasisi na kupata Usajili?
Pia naomba mnielekeze taratibu za kufuata ili kusajili.
Nawasilisha.
Mimi ni kijana nina Stashahada ya kawaida (ordinary Diploma) Ya Ustawi wa Jamii pamoja na Uzoefu kidogo katika kufanya kazi za jamii nilioupata kabla ya kujiunga na Chuo kwa kufanya kazi za kujitolea katika mashirika tofauti.
Nina mapenzi makubwa na fani yangu lakini bahati mbaya ni kwamba Tangu nimemaliza Chuo Mwaka jana sijapata ajira na hivyo huwa nafanya kazi za muda mfupi pale ninapohitajika mahali fulani na hivyo najikuta natumia muda wangu bila kuwa na kazi rasmi.
Nikashauriana na familia yangu na kufikia Uamuzi wa kusajili Taasisi ambayo itafanya kazi za kijamii ambapo nitashiriki kwa kiasi kikubwa pamoja na kujenga uwezo kwa vijana waliopo vyuoni na wanaomaliza mafunzo kupata uzoefu.
Swali langu ni Je, kwa elimu yangu nina uwezo wa kuanzisha Taasisi na kupata Usajili?
Pia naomba mnielekeze taratibu za kufuata ili kusajili.
Nawasilisha.