Msaada: Kupata schengen visa kupitia ubalozi wa Ufaransa Tanzania

piego

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
289
425
Habari wakuu,

Nimekwama naomba mwongozo, kwa wale ambao wana ufahamu na uzoefu katika application za visa, nchi nyingi zinahitaji uwe na health insurance itakayoweza kukuhudumia kipindi utakapokuwa huko hasa nchi za Ulaya. Je, ni agents gani wanatoa huduma hizi za international health insurance na zinazokubalika huko ubalozini? Je waweza kuomba insurance ya muda mfupi eg. 2 weeks?

Je ni lazima uende na documents za health insurance pale unapopata appointment ubalozini au unaweza kutafuta baadae baada ya appointment kwa wale ambao wameshaomba visa ya Ufaransa mtakuwa mmenipa msaada zaidi.

Nawashukuru wote
 
Waungwana mwenye kufahamu kuhusu hili nahitaji msaada..
 
Ubalozi wa Ufaransa wapo very strict kwenye hiyo Schengen visa,hiyo list uliyo nayo hakikisha kila document unakuwa nayo for your second appointment.
Health insuarance wanakupa list zipo health insuarance zote kubwa,December 2016 niliomba schengen na nilikata AAR siku 15 nadhani ilikuwa almost $70 VAT exclusive.
Kuna dada mkenya pale ndo anakagua checklist yako kama huna huingii interview room,makesure unavyo vitu vyote Bank statements,Accomodation details,Flights(hii nilienda KQ wakanipa kama ka booking flani maana sikutaka kurisk kukata ticket bila kuwa na visa).
All the best.
 
Piego,

Nakushauri uangalie requirements kwenye website ya ubalozi wa ufaransa kupitia hapa Visas na usome maelezo yoooote taratibu , So far most schengen visa unahitaji 1)Travel Document - ticket, 2) means of Subsistence (ie proof ya hela ya wewe kuishi huko kwa muda huo), 3)Insurance (unaweza nunua kwa insurance agency mf reliance wanatoa travel cover 4)Invitation letter kama ni semina, shule, rafiki/ndugu ... ni Lazima uwe na docs zote in your first appointment otherwise unarisk visa yako kuchelewa kuwa processed.
 
Ubalozi wa Ufaransa wapo very strict kwenye hiyo Schengen visa,hiyo list uliyo nayo hakikisha kila document unakuwa nayo for your second appointment.
Health insuarance wanakupa list zipo health insuarance zote kubwa,December 2016 niliomba schengen na nilikata AAR siku 15 nadhani ilikuwa almost $70 VAT exclusive.
Kuna dada mkenya pale ndo anakagua checklist yako kama huna huingii interview room,makesure unavyo vitu vyote Bank statements,Accomodation details,Flights(hii nilienda KQ wakanipa kama ka booking flani maana sikutaka kurisk kukata ticket bila kuwa na visa).
All the best.
Shukrani. Maana nilikuwa sijui shirika gani LA bima linatoa hiyo huduma inayocover international insurance.. Unaweza nifahamisha shirika gani jengine linatoa huduma hiyo na linakubalika ubalozini?
Vipi kuhusu kutoa.viza wanabana au hawana shida sana?
Interview zao zinakuwaje?kuhusu nini...?pole kwa maswali mengi
 
Piego,

Nakushauri uangalie requirements kwenye website ya ubalozi wa ufaransa kupitia hapa Visas na usome maelezo yoooote taratibu , So far most schengen visa unahitaji 1)Travel Document - ticket, 2) means of Subsistence (ie proof ya hela ya wewe kuishi huko kwa muda huo), 3)Insurance (unaweza nunua kwa insurance agency mf reliance wanatoa travel cover 4)Invitation letter kama ni semina, shule, rafiki/ndugu ... ni Lazima uwe na docs zote in your first appointment otherwise unarisk visa yako kuchelewa kuwa processed.
Vipi MTU akilipia travel insurance halafu akakosa visa?wana utaratibu wowote Wa kurefund?
Interview zao zinakuwaje?any hints?
Kuna series ya interview ngapi?
 
Vipi MTU akilipia travel insurance halafu akakosa visa?wana utaratibu wowote Wa kurefund?
Interview zao zinakuwaje?any hints?
Kuna series ya interview ngapi?

Hamna sababu ya kuwa na wasiwasi kama safari yako ina mwaliko na sababu maalumu na vigezo vyote unavyo. Interview hasa ni kucheki hivyo viambatanisho kama vipo sawa na kuchukua finger print. Kama ni safari binafsi hakikisha unaenda na certified bank statement kama ni mwajiri analipia basi mwajiri akuandikie introduction letter kuwa wanakucover katika safari nzima.
 
Shukrani. Maana nilikuwa sijui shirika gani LA bima linatoa hiyo huduma inayocover international insurance.. Unaweza nifahamisha shirika gani jengine linatoa huduma hiyo na linakubalika ubalozini?
Vipi kuhusu kutoa.viza wanabana au hawana shida sana?
Interview zao zinakuwaje?kuhusu nini...?pole kwa maswali mengi
Kama ushaenda ubalozi wanakupa list ya insurance company ambazo zipo approved nao-Birtam,Jubiliee,AAR na UAP nadhani sikumbuki vema.
Hamna refund ya aina yoyote iwe for insurance wala appointment fee,ww hakikisha unaviambatanisho vyote kama alivyokuelezea.
Uwe tu mkweli wa safari yako kama ni personal certified bank statement,uwe na inivtation letter accomodation bookings with your name,flight bookings.Kama ya kikazi inakuwa rahisi ile barua ya mwajiri inakugurantee.
Mpaka unaingia interview zao means checklist yako imekamilika hazina shida zaidi sana ujue hata kile chakuombea maji Bonjour,Bon voyage,Bon appetite,Mercii
 
Hamna sababu ya kuwa na wasiwasi kama safari yako ina mwaliko na sababu maalumu na vigezo vyote unavyo. Interview hasa ni kucheki hivyo viambatanisho kama vipo sawa na kuchukua finger print. Kama ni safari binafsi hakikisha unaenda na certified bank statement kama ni mwajiri analipia basi mwajiri akuandikie introduction letter kuwa wanakucover katika safari nzima.
Asante sana kwa maelezo ya kutia moyo..
 
Uswisi mi ndo naona rahisi kupata ivo visa,...kuhusu insurance wacheki jubilee wako vizur
 
Kama ushaenda ubalozi wanakupa list ya insurance company ambazo zipo approved nao-Birtam,Jubiliee,AAR na UAP nadhani sikumbuki vema.
Hamna refund ya aina yoyote iwe for insurance wala appointment fee,ww hakikisha unaviambatanisho vyote kama alivyokuelezea.
Uwe tu mkweli wa safari yako kama ni personal certified bank statement,uwe na inivtation letter accomodation bookings with your name,flight bookings.Kama ya kikazi inakuwa rahisi ile barua ya mwajiri inakugurantee.
Mpaka unaingia interview zao means checklist yako imekamilika hazina shida zaidi sana ujue hata kile chakuombea maji Bonjour,Bon voyage,Bon appetite,Mercii
Asante sana kwa helpful info..
 
wakuu Kinyau mischa naomba msaada tena asap.
nimepata schengen visa ya ufaransa. lakini nahitajika kuconnect flight amsterdam, netherlands. swali langu, hii visa niliyopewa ya ufaransa itaniruhusu kupita amsterdam au itabidi niombe tena transit visa kupitia ubalozi wa netherlands.
hili jambo linanichanganya na safari iko karibu.. msaada haraka tafadhali
 
wakuu Kinyau mischa naomba msaada tena asap.
nimepata schengen visa ya ufaransa. lakini nahitajika kuconnect flight amsterdam, netherlands. swali langu, hii visa niliyopewa ya ufaransa itaniruhusu kupita amsterdam au itabidi niombe tena transit visa kupitia ubalozi wa netherlands.
hili jambo linanichanganya na safari iko karibu.. msaada haraka tafadhali

Mkuu you are good to go. U don't need transit VISA just have your documentation at hands (invitations, hotel etc for immigration check just in case)
Schengen Visa covers entry to all schengen countries . Na hata kama sio flight connection kama unataka kwenda kutembea ujerumani, Italy , uholanzi just go with ur schengen visa.

Safari njema and dont forget to feedback uliyojifunza kuendeleza Tanzania ya Viwanda.
 
Mkuu you are good to go. U don't need transit VISA just have your documentation at hands (invitations, hotel etc for immigration check just in case)
Schengen Visa covers entry to all schengen countries . Na hata kama sio flight connection kama unataka kwenda kutembea ujerumani, Italy , uholanzi just go with ur schengen visa.

Safari njema and dont forget to feedback uliyojifunza kuendeleza Tanzania ya Viwanda.
Asante sana.. Majibu yako yamekuwa msaada mkubwa

Nitarudisha feedback .. Thanks alot

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom