Almachus
Member
- Dec 15, 2017
- 56
- 12
Mkuu hizo tiba nazipata wapi?mornie brother.
pole sana kwa hali hiyo, but changamoto uliyo nayo ni hii.
1. uume umepungua size kwa sababu ya punyeto, hapa urefu na wembamba wa uume lazima uuhusike kama kweli ulikuwa hodari katika punyeto.
2. nguvu za kiume zimepungua kutokana na kuharibu misuli ya uume, hivyo uume huenda ukawa unasimama legelege.
USHAURI.
Anza tiba ya kurejesha uume katika hali ya awali yaan size na nguvu kwa kutumia tiba asilia.
kisha waweza ongeza size ya uume lakini lazima uanze na hilo la juu kwanza huo ndio utaratibu wa tiba asilia wala asikuongopee mtu mwingine.