Unaweza Upgrade kufika ata 8 ukipenda lakin kwanza tujue hiyo pc core i? Au zile Intel inside?Habari za muda huu wakuu!
Nilikua nahitaji niongeze RAM kwenye PC ya HP Pavilion yenye 2GB Ram, sio mtalaam wasiwasi wangu je inaweza ongeza uchapaji kazi au itakua kazi bure
tuma full model ya pc itakuwa rahisi watu kukuangaliziaMkuu hii ni (AMD II QUAD CORE) inawwzekana?
Machine yako inatumia DDR3 zipo mpaka 8 gb wewe tu uwezo wako!Mkuu hii ni (ii quad core AMD)inawezekana
Kariakoo round boutWakuu naweza wapi Kupata wapi, hizi betri za AAAA za Microsoft surface pen. View attachment 1516132
Asante mkuu. nitafuatilia asap.Kariakoo round bout
Kun jamaa wanauza remote paleAsante mkuu. nitafuatilia asap.
Jaribu supermarket za Wazungu kama A to Z.Wakuu naweza wapi Kupata wapi, hizi betri za AAAA za Microsoft surface pen. View attachment 1516132