Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,974
- 9,703
Habari zenu ba ndugu.
Naomba msaada kunauzi nautafuta, nmeusahau jina japo maudhuhi yake nayakumbuka.
Uzi ule unahusu maneno ambayo unaweza ya tumia iliuende sawa na watu yani ni maneno ya kawadi tunayotumia kila siku ila mtoa ametia msisitizo.
Kizuri zaidi kuna-comment moja mwanana ulishushwa kwa lugha ya kibeberu. Ambayo ilikuwa yakufaha sana. Nayo ilikuja na maneno ambayo yanatafsiri sawa ila japo moja wapo laweza sound aggressive ukilinganisha na jengine.
Mwenye kuujua uzi uwo naomba ashee na kadamnasi.
Naomba msaada kunauzi nautafuta, nmeusahau jina japo maudhuhi yake nayakumbuka.
Uzi ule unahusu maneno ambayo unaweza ya tumia iliuende sawa na watu yani ni maneno ya kawadi tunayotumia kila siku ila mtoa ametia msisitizo.
Kizuri zaidi kuna-comment moja mwanana ulishushwa kwa lugha ya kibeberu. Ambayo ilikuwa yakufaha sana. Nayo ilikuja na maneno ambayo yanatafsiri sawa ila japo moja wapo laweza sound aggressive ukilinganisha na jengine.
Mwenye kuujua uzi uwo naomba ashee na kadamnasi.