Kuna ufa kwenye nyumba, fundi kaziba mara mbili na magunia hajafanikiwa

Mwenye kujua njia ya kukarabati nyufa (cracks) kwenye kuta za nyumba msaada tafadhali.
 
Na kwa nini ufa utokee...mbona kuna nyumba za miaka wakati tunakua hazijawahi kuwa na nyufa...ndio tatizo la kukwepa gharama za ujenzi na kupata olimradi nyumba
 
Habari,

Naomba ushauri wa kitaalamu au kutoka kwa mdau aliyepitia hii changamoto ya ufa kwenye ukuta wa nyumba baada ya kumaliza ujenzi.

Fundi alijaribu mara mbili kutumia magunia kuziba lakini naona bado umejitokeza tena.

Huu ufa uzibweje ili usijitokeze tena?
Mama Nehemiah pole.

Malekebisho yake yana wezekana,
Nipigie
0753961896

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,

Naomba ushauri wa kitaalamu au kutoka kwa mdau aliyepitia hii changamoto ya ufa kwenye ukuta wa nyumba baada ya kumaliza ujenzi.

Fundi alijaribu mara mbili kutumia magunia kuziba lakini naona bado umejitokeza tena.

Huu ufa uzibweje ili usijitokeze tena?
ufa kwenye numba ni kupumua kwa nyumba ni sawa na wewe ukibanwa pua inakuwaje,hivyo siyo kila ufa unamadhara
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Kuna Aina nyingi za nyufa,

- Kuna ufa unatokana na kusinyaa ama kukauka kwa material Kama plasta(shrinkage)

- Kuna ufa unaotokana na kujishindilia kwa udongo chini ya msingi(settlement)

-Kuna ufa unaotokana na matukio ya Asili Kama tetemeko la ardhi.

-Kuna ufa unaotokana na mabadiliko ya halijoto na kukosekana kwa expansion joint nk.

Ili kuziba ufa inabidi kutafiti Kwanza kujua chanzo chake na ndipo itakuwa rahisi kupata suluhisho la kudumu.
Hapo umenena mkuu
 
Back
Top Bottom