Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 241
- 433
Habari,
Naomba ushauri wa kitaalamu au kutoka kwa mdau aliyepitia hii changamoto ya ufa kwenye ukuta wa nyumba baada ya kumaliza ujenzi.
Fundi alijaribu mara mbili kutumia magunia kuziba lakini naona bado umejitokeza tena.
Huu ufa uzibweje ili usijitokeze tena?
Naomba ushauri wa kitaalamu au kutoka kwa mdau aliyepitia hii changamoto ya ufa kwenye ukuta wa nyumba baada ya kumaliza ujenzi.
Fundi alijaribu mara mbili kutumia magunia kuziba lakini naona bado umejitokeza tena.
Huu ufa uzibweje ili usijitokeze tena?