Msaada: Kuna mtu kajitumia laki 2 kutoka kwenye ya tigo pesa yangu, tigo wananiambia niende polisi

kazikaz

Member
Oct 8, 2016
39
31
Leo kuna mtu kajitumia pesa kutoka kwenye account yangu ya tigo pesa kiasi cha Laki mbili na nilipo wapigia Tigo wamesema niende polisi na kiukweli they don't cooperate kabisa kwa upande wangu hiyo pesa ilikua muhimu saana ndugu zangu tafadhali nisaidien nifanyaje
 
Leo kuna m2 kajitumia pesa kutoka kwenye account yangu ya tigo pesa kiasi cha Laki mbili na nilipo wapigia tigo wamesema niende polisi na kiukweli they dont coperate kabisa kwa upande wangu hiyo pesa ilikua muhimu saana ndugu zangu tafadhali nisaidien nifanyaje
Password yako aliijuaje labda tuanzie hapo
 
Leo kuna m2 kajitumia pesa kutoka kwenye account yangu ya tigo pesa kiasi cha Laki mbili na nilipo wapigia tigo wamesema niende polisi na kiukweli they dont coperate kabisa kwa upande wangu hiyo pesa ilikua muhimu saana ndugu zangu tafadhali nisaidien nifanyaje
Fuata ushauri wa Tigo.
 
"I just wonder" ni uzembe kiasi gani ulionao mpaka unaweka mwaka wako wa kuzaliwa kuna kitu kinaitwa pin-codes na pass-word kwaiyo kwenye account YA mitandao kuna pin-codes ambazo zinakuwa nne (foor digits) kwaiyo lazima iwe ****

Watu wanaona kazi au ni rahisi kusahau pin-code zingine tofauti kuliko kusahau mwaka wa kuzaliwa kitu ambacho ni "very dangerous" wadukuzi wanaweza kuotea pin-code yako exactly kabisa

chakufanya hapo
~ili kutengeneza password nzuri na ngumu mtu kuiotea na rahisi pia wewe kuikumbuka .....fata haya
(¡)chukua mwaka wako wakuzaliwa kisha jumlisha na mwaka wa mtoto wako (kama unae na mwaka wa mtoto wako yoyote) kama huna mtoto unaweza jumlisha na mwaka ambao kunatukio ambalo hutokuja kulisahau

(¡¡)itakuwa hivi mf..mwaka wako wa kuzaliwa ni 2018+2034
Ni =4054 ambayo ni ngumu mtu kuiotea na rahisi pia ni rahisi wewe kukumbuka

N.b usipende pende kuitoa password yako au kumtuma mtu akufanyie muamala ni kosa......
 
Dah wakuu mi jina langu lina herufi 4, la Mama mzazi nalo herufi nne. Hizo herufi nikazigeuza kuwa namba na sasa ni password nzuri tu kwa miamala yangu ya simu,na akaunti zangu za benki.

Mfano jina SARA,kwa hiyo katika simu inakuwa 7272. Nikaitumia ikawa fresh, huu mwaka wa kumi na ngapi sijui.
 
Hizi kampuni sasa zimekuwa mateso, yaani usiku nimepata hasira sana, nimepokea ujumbe kutoka Air tel eti wananikata shilingi mia tatu (300) kwa kuwa sijatumia huduma yao ya Airtrl money kwa muda wa siku 180, kwa hiyo ninakatwa hiyo kama adhabu ya kutotumia huduma..jamani kwani lazima?! Kama sina shida na huduma hiyo nifanyeje niweke hela nimtumie nani? Inanisikitisha sana halafu wala sikuwa najua kama ni siku 180, nilidhani ni mwaka mzima, sina uhitaji na huduma hiyo why wanaiadhibu? TCRA inabidi ituangalie na sie watumiaji..
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom