ushoroba wa kati
Member
- Aug 12, 2019
- 88
- 98
Habari wakuu.
Nimefuta account yangu tangu February 2018 sasa kuna watu wangu wa karibu wananipigia simu na kuniuliza nimepatwa na shida gani maana vitu nnavyoandika na kuposti huko Facebook sio vya busara.
NImefanya jitihada za kuangalia hiyo account nikakuta ni kweli maana picha (baadhi nilizowahi post) na details kadhaa zinaendana na zangu.
Nilikua natumia jina Masamaki Kimweri (sio halisi). Sasa yeye ameongeza JR mwishoni, yaani Masamaki Kimweri JR.
Naomba msaada nifanye nini ili nimdhibiti huyu bwana?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuta account yangu tangu February 2018 sasa kuna watu wangu wa karibu wananipigia simu na kuniuliza nimepatwa na shida gani maana vitu nnavyoandika na kuposti huko Facebook sio vya busara.
NImefanya jitihada za kuangalia hiyo account nikakuta ni kweli maana picha (baadhi nilizowahi post) na details kadhaa zinaendana na zangu.
Nilikua natumia jina Masamaki Kimweri (sio halisi). Sasa yeye ameongeza JR mwishoni, yaani Masamaki Kimweri JR.
Naomba msaada nifanye nini ili nimdhibiti huyu bwana?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app