FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,035
- 40,700
Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
Ni engine ya 1JZ FSE ToyotaGari gani?
Ni engine ya 1JZ FSE Toyota
Bei inaweza fika 150,000 au 200,000 mpya kabisa. Yangu nilinunua 200,000 pale Toyota Tz Kkoo.Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
Daah, nilikuwa na haraka sana, sikuwa hata na muda wa kuzunguka, baada ya kuona sijibiwi nililipa tu, ila imepona.Nenda kaulize dukani mwenyewe kama uko Dar nenda Ilala.pita duka moja moja uliza.Ila usinunue maana huijui wewe unaweza ukauziwa mbovu.pata bei halafu ndiyo ubishane na huyo fundi wako
Duuh, aiseee! Kumbe ndio vinabei hivyo?!Bei inaweza fika 150,000 au 200,000 mpya kabisa. Yangu nilinunua 200,000 pale Toyota Tz Kkoo.
Ukimpa 70,000 anaenda kunyofoa kwenye gari iliokaa hapo garage muda mrefu anakuwekea wewe.
Nilinunua ya rav 4 120k tena usedNikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
Duu, hata mimi ni used wamefunga, wanadai eti used ndio ngumu zaidiNilinunua ya rav 4 120k tena used
Duuu, ni balaaKama brevis hiyo ndiyo bei yake tena bado umeuziwa rahisi sana
O2 sensor kwa 70k kama si bei mbaya kama bado ipo kwenye hali nzuri...Duuh, aiseee! Kumbe ndio vinabei hivyo?!
I think I need one for my NISSAN....itabidi niuze urithi kidogo.Duu, hata mimi ni used wamefunga, wanadai eti used ndio ngumu zaidi
Kama unamaindi 70,000 wakati wako wa kumilik gari ulikua bado.ulifosiDaah, nilikuwa na haraka sana, sikuwa hata na muda wa kuzunguka, baada ya kuona sijibiwi nililipa tu, ila imepona.
Kwa MAF sensor nawashauri mwende pale liqui molly mikocheni nunua sensor cleaner inauzwa 30,000 ifanyei service ya kukaosha kila baada ya miezi 6 (recommend time), maana kakizingua ni balaa hata hizo O2 sensor zina namna ya kuzi clean, ingia tu youtube. Nime recommend uende mikocheni sababu hakuna mtu mwingine anauza hiyo cleaner zaidi ya hao liqui molly, gari yangu ilikuwa inaniwashia taa za malfunction za mara maf sensor mara O2 sensor zimesafisha sasa imetuliaO2 sensor kwa 70k kama si bei mbaya kama bado ipo kwenye hali nzuri...
Kuna hivi vijitu vidogo dogo MAF sensor, O2 sensors hivi vidude vikizingua unaweza kuchukia gari.
Kwa MAF sensor nawashauri mwende pale liqui molly mikocheni nunua sensor cleaner inauzwa 30,000 ifanyei service ya kukaosha kila baada ya miezi 6 (recommend time), maana kakizingua ni balaa hata hizo O2 sensor zina namna ya kuzi clean, ingia tu youtube. Nime recommend uende mikocheni sababu hakuna mtu mwingine anauza hiyo cleaner zaidi ya hao liqui molly, gari yangu ilikuwa inaniwashia taa za malfunction za mara maf sensor mara O2 sensor zimesafisha sasa imetuliaView attachment 2018265
Ni kweli hawakuwa nayo muda mrefu, ila wiki tatu zilizopita walinipigia simu wakanambia zimefika, na nliikuta kwa hiyo beiLiquimoly niliwapigia last year wakasema hizi hawaingizi tena mkuu.
We umeinunua lini Last time?