Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 286
Nimepata namba ya dem mpya nitumie mbinu gani ili niweze kumpata maana hata nashindwa pa kuanzia na mtoto ana uelewa mkubwa sana na kazi yake! Nilikutana naye mara moja tu! Ila nataka mbinu za kumuingilia ila nimekwama naomben nondo nianzie wap
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums