Msaada: Kuna anaewajua watu au kampuni inayoaminika Dubai, unaoweza kuwapa mzigo wako waulete Dar?

Ndesi

Member
Dec 27, 2016
7
2
Msaada: Kuna mtu anaewajua watu au kampuni inayoaminika DUBAI unaoweza kuwapa mzigo wako wakuletee DSM
 
Msaada: Kuna mtu anaewajua watu au kampuni inayoaminika DUBAI unaoweza kuwapa mzigo wako wakuletee DSM
Ninaweza kukusafirishia mzigo hadi hapa DSM. Iwapo utakubaliana na vipengele tajwa hapa chini.

1. Ghalama zote za kusafirishia utalipia pindi mzigo wako umefika Dar es Salaam
  • Ghalama zitatokana na uzito wa mzigo, Hivyo ni vyema ukatambua kabisa uzito wake ili nikupe hesabu ya ghalama ya kusafirishia kabla ya mzigo haujaletwa ofisini DUBAI
  • Hakuna malipo yoyote ya awali unayotakiwa kulipia/ kunilipa.
  • Utapewa Tracking number ya mzigo - Hivyo utaweza kuufuatilia vyema hatua kwa hatua hadi mzigo unafika nchini.
2. Hapa nchini: -Iwapo kutakuwa na charges Airport { Mfano (a) Swisport charges - tsh 27,000 (b) Clearance and Handling charges - TSH 60,000) } - Utawajibika kulipia.

3. Uwe tayari kulipia KODI kutokana na thamani ya mzigo - Iwapo Mamlaka ya mapato / TRA itakutaka kulipia kodi mzigo wako.
  • Kiwango utakacholipia kitatokana na assessment ya mzigo itakayofanya na mamlaka husika Airport.

JE NINI UNATAKIWA KUFANYA?

- Kuufikisha mzigo ofisini DUBAI - Al Quoz Industrial Area 1 Street No. 11.
upload_2017-1-5_11-12-19.png


- Anwani kamili nitakupa PM au kwanjia ya whatsapp iwapo utahitaji hii huduma toka kwangu

UKIWA TAYARI WASILIANA NAMI:
- Whatsapp +255 784 496 856
- JF Page: www.v.ht/buy4me

KARIBU
 
Back
Top Bottom