Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,166
- 3,827
Habari za majukumu wakuu
Mimi ni mfugaji mchanga nimekuja mbele zenu kuna changamoto ninachopitia kwenye ufugaji wangu wa kuku.
Nina kuku wangu wawili wa kienyeji ni matetea namshukuru Mungu wameweza kupata vifaranga na tatizo ninalopitia ni hawa kuku wangu wametokea kutokuelewana yaani wanapigana sana, toka nilipowaleta walikuwa wakipigana sana nikajua labda kutokana nimewachukua sehemu mbili tofauti nikajipa moyo wanaelewana badae, lakini hali imekuwa ikiendelea mpaka hivi leo naomba MSAADA.
Je, tatizo ni nini au nifanye nini ili waache tabia hii?
Mimi ni mfugaji mchanga nimekuja mbele zenu kuna changamoto ninachopitia kwenye ufugaji wangu wa kuku.
Nina kuku wangu wawili wa kienyeji ni matetea namshukuru Mungu wameweza kupata vifaranga na tatizo ninalopitia ni hawa kuku wangu wametokea kutokuelewana yaani wanapigana sana, toka nilipowaleta walikuwa wakipigana sana nikajua labda kutokana nimewachukua sehemu mbili tofauti nikajipa moyo wanaelewana badae, lakini hali imekuwa ikiendelea mpaka hivi leo naomba MSAADA.
Je, tatizo ni nini au nifanye nini ili waache tabia hii?