polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,362
- 5,808
aina ya mchanga nayo ina tija sana kwenye wingi wa tofali mara nyingi sana ukitaka tofali bora kabisa kwa kanda za mikoa yenye maji chumvi yaana mikoa ya kanda ya kati na pwan pamoja na baadhi yanmikoa ya kanda ya ziwa angalau ukitumia 32.5R kwa mkono basi ili tofali Iwe bora basi anzia tofali 30-35 na kwa cement ya 42.5R basi tofali anzia 36 hadi 45 hizo ni za mkono hapo utapata tofali bora kabisa.Watu mnabwabwaja tu ili muonekane wazee wa viwango, ni aidha mnaishi kwa shemeji hamjui kitu au lengo lenu ni kukatisha tamaa wenzenu!
Mfuko tofali 19!!!!
Mara tofali 25!!!
We unafikiri hiyo tofali ungeuziwa 1000-1200? Mpigaji angefanya biashara kichaa namna hiyo!
Tofali zote unazoona zinauzwa mtaani huko ni wastani wa zaidi ya 40 na kila siku unaona zinaondoka na maghorofa yanainuka... jipe muda kuwauliza wapigaji japo wanaweza wasikwambie ukweli.
Huu mjadala wa ujenzi upo juu ya uwezo wenu hivyo mlipaswa kuuamkia na kukaa kwa kutulia.
Mfuko wa simenti kwa tofali za ujenzi wa nyumba, 32.5R au 42.5R inatoa tofali 40-50 tena ni zenye ubora wa kiwango cha juu.
Na huyu ni mpigaji wa mikono, kwa mashine zinaweza kuzidi hapo na zikafaa tu.
Acheni ubishani na mizaha, hii ni moja ya sababu mnaogopa kujenga.
ila kwa ukanda wa nyanda za juu kusini yan mbeya huko na kaskazin ya arusha moshi huko basi cement ya 32.5R angalau tofali 36 hadi 50 na cement ya 42.5R angalau tofali 51 had 65 hapo utapata tofali bora kabisa
NB: Maelezo hayo ninkwa cement ambayo haijazidisha siku 6 hadi 10 tangu itoke kwenye mkanda. kadri inavyo zidi kukaa ndivyo na idadi ya tofali inavyo pungua