Ngao ya Sponji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 341
- 541
Wakuu natumaini mpo Salama:
Moja Kwa Moja niende Kwenye mada husika, kama Kichwa kinavyojieleza;
Tovuti ya Serikali ya Ajira haiweki wazi anuani ya Mamlaka au Shirika lililotangaza Nafasi za kazi Wala haitoi taarifa kwamba barua Ziandikwe kwenda kwa nani Hivyo kuweka ugumu kujua anuani ya sehemu husika.
Mara nyingi huwa najaribu kuingia katika tovuti zao lakini sio zote zinaweka Anuani na nyingine Huwa hazina Tovuti kabisa.
Mfano mzuri ni Mamlaka ya Maji safi na Mazingira Nzega (NZUWASA) amabayo wametangaza Nafasi ya Ajira lakini haijulikani Barua inaandikwa kwenda kwa nani na Anuani Yao ni ipi, Tafadhali naomba mwenye uelewa juu ya Hili anisaidie. nawakilisha
Moja Kwa Moja niende Kwenye mada husika, kama Kichwa kinavyojieleza;
Tovuti ya Serikali ya Ajira haiweki wazi anuani ya Mamlaka au Shirika lililotangaza Nafasi za kazi Wala haitoi taarifa kwamba barua Ziandikwe kwenda kwa nani Hivyo kuweka ugumu kujua anuani ya sehemu husika.
Mara nyingi huwa najaribu kuingia katika tovuti zao lakini sio zote zinaweka Anuani na nyingine Huwa hazina Tovuti kabisa.
Mfano mzuri ni Mamlaka ya Maji safi na Mazingira Nzega (NZUWASA) amabayo wametangaza Nafasi ya Ajira lakini haijulikani Barua inaandikwa kwenda kwa nani na Anuani Yao ni ipi, Tafadhali naomba mwenye uelewa juu ya Hili anisaidie. nawakilisha