mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Habarini wadau,
Inawezekana ikawa sio sehemu sahihi ya kupost hili, lakini nilitaka kuuliza; Zantel wana offer ya unlimited 30,000 kwa mwezi, je, ni kweli unlimited au kunakua na limit baada ya matumizi ya GB flani ?
Inawezekana ikawa sio sehemu sahihi ya kupost hili, lakini nilitaka kuuliza; Zantel wana offer ya unlimited 30,000 kwa mwezi, je, ni kweli unlimited au kunakua na limit baada ya matumizi ya GB flani ?