Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,714
- 39,795
Imeshatoka tayari ila so far ni muonekano tu, not worth it kwa sasa. Features kali kali Kama android app support bado hawajaziwekaI
ikitoka nitag mkuu
Imeshatoka tayari ila so far ni muonekano tu, not worth it kwa sasa. Features kali kali Kama android app support bado hawajaziwekaI
ikitoka nitag mkuu
Si nilisikia windows 10 ndo ya mwisho, watakuwa wanaiboresha tu.! Au chanzo changu cha habari kilikuwa magumashi.
Nisaidie link mkuu niweze kuishushaImeshatoka tayari ila so far ni muonekano tu, not worth it kwa sasa. Features kali kali Kama android app support bado hawajaziweka
Jiunge windows insider kama una windows 10 kwenye machine yako. Weka developer chanell.Nisaidie link mkuu niweze kuishusha
Bill Gates ashaondoka MSFT muda mrefu.Hauko mwenyewe... Au Bill Gates kaishiwa $$, nini?
Nimeona website yao wanaanza na gen 8 kwa upande wa intel Windows Processor Requirements Windows 11 Supported Intel ProcessorsHata windows 10 hizi mpya recommended specs ni Gen ya 8 lakini haimaaanishi kwamba hazitarun kwenye vifaa vyengine.
Ni muda wa waandishi wa habari kupata views kwa kutisha Tisha watu, watu walalamike, comments ziongezeke etc.
Tusubiri itoke hio win 11 ila kwa uelewa wangu itaingia machine yoyote hadi za core 2 duo, watakuonya tu kama pc haijakidhi vigezo.
Ndio concept hapa Mkuu hio ni recomendended, haimaaanishi cpu nyengine hazitarun win 11.Nimeona website yao wanaanza na gen 8 kwa upande wa intel Windows Processor Requirements Windows 11 Supported Intel Processors
Nimesikia may be wakashusha hadi 6 gen kama wakiona inarun vizuri.
Ngoja tuone isije kuwa windows vista 2.0Ndio concept hapa Mkuu hio ni recomendended, haimaaanishi cpu nyengine hazitarun win 11.
Microsoft Wana AIO Yao inaitwa surface studio bei yake kama milioni 8 ina Gen ya 7, no way waiache kwenye mataa.
tunafanyaje hii mkuu?Jiunge windows insider kama una windows 10 kwenye machine yako. Weka developer chanell.
Umeshafanya kama nilivyoelezea kwenye comment? Ama umefanya mpaka wapi na umekwama wapi?tunafanyaje hii mkuu?
Mm ninayo ila nashanga naambiwa siwezi kupata window 11 Chief-Mkwawa hii inakaaje kiongoezi au kwakuwa na gen ya 6View attachment 1869233
Ambao tuna TPM Ver. 2 tujuane kabisaaaaaaaaa
Windows 11 ipo insider tu haipo kwa wateja wa kawaida. Kama wewe hujajisajili kama developer huwezi pata update ya win 11.Mm ninayo ila nashanga naambiwa siwezi kupata window 11 Chief-Mkwawa hii inakaaje kiongoezi au kwakuwa na gen ya 6
Chief naomba link iliniweze kuipakua windows 11Win 11 sasa hivi ipo beta Chanell.
Jiunge na insider kwenye pc yako Hakikisha una secure boot na free storage gb 64, watakuletea update wenyewe.Chief naomba link iliniweze kuipakua windows 11
Bado update yake haijatumwa.mbona sasa android app hazifanyi kazi
owky asante mkuuBado update yake haijatumwa.
Kifupi ukiwa insider kila wanachotengeneza wanaki update kwako mpaka ikamilike, ikishakamilika ndio inatoka official kwa kila mtu.