big-diamond
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 422
- 553
Ndugu wana JF Neema ya Bwana iwe nanyi nyote!
Ninaomba kupata taarifa ni kwa namna gani ninaweza kupata sehemu ya kujitolea ili niweze kuongeza uzoefu zaidi na kuimarisha CV yangu kwani ndio nimemaliza chuo mwaka huu! taarifa yangu fupi ni kama ifuatavyo!
Ba Development Studies
University Of Dodoma
Ninaomba kupata taarifa ni kwa namna gani ninaweza kupata sehemu ya kujitolea ili niweze kuongeza uzoefu zaidi na kuimarisha CV yangu kwani ndio nimemaliza chuo mwaka huu! taarifa yangu fupi ni kama ifuatavyo!
Ba Development Studies
University Of Dodoma