Asante sana mkuu kwa ushauri nimeupokeaUsithubutu boss, hapa nilipo hiyo Internet ya TTCL imekatika toka asubuhi na hawana maelezo ya kuridhisha. Kama unarudi ili kuongeza idadi ya watumiaji ni sawa, lakini kama unahitaji huduma, hiyo TTCL ni weka mbali na watoto.
Mi mwenyewe nilishawishika nikasema ngoja nirudi nyumbani kumbe hamna kitu duh!! Asante sana mkuuHamna mtandao hapo achana nao kazi kujisifu nyumbani kumenoga mara upuuzi gani sijui lakini hamna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukuku kijijini manyoni inakamata?Hao wanakupotosha jamaa wapo vizuri kusema ukweli .... Hii internet ninayo tumia ni yao alafu kwa T pesa yao pia hawana makato yaki puuzi puuzi mi nakushauri uitumie mfano kuna bando la kukesha ni buku tu wanakupa Gb 15 mzee na download movie kama mwehu yan
inakamata nchi nzima mzee baba....vocha sio lazima ununue ya kukwangua kama una tigo pesa au mpesa unaweza nunua vocha ya TTCLHukuku kijijini manyoni inakamata?
Bundle zao zikoje kwenye internet na speed yake?Ingia Zantel mm nmehama TTCL sababu nikisafiri nakosa mtandao sehem kubwa sana...jana nmetoka dar kwenda arusha mtandao wa zantel upo vzr kbs
NMkuu ukifika ofisini kwao ovyo tuUsithubutu boss, hapa nilipo hiyo Internet ya TTCL imekatika toka asubuhi na hawana maelezo ya kuridhisha. Kama unarudi ili kuongeza idadi ya watumiaji ni sawa, lakini kama unahitaji huduma, hiyo TTCL ni weka mbali na watoto.
Hiyo hela ikikwama hewani utajutainakamata nchi nzima mzee baba....vocha sio lazima ununue ya kukwangua kama una tigo pesa au mpesa unaweza nunua vocha ya TTCL
Wapo ovyo tu mafala wale
HahahahaWazee wa kutoa gawio. Kumbe Wana madeni hadi matakoni. Hovyo kabisa.