Msaada kuhusu utosi wa mtoto mchanga wa wiki Moja kudunda

Status
Not open for further replies.

BMW P9

Member
Feb 19, 2022
66
87
Habarini za usiku wapendwa.

Naomba mwenye kufahamu ni kwanini mtoto mchanga wa wiki moja utosi wake haudundi na je? io ni hali ya kawaida au ni tatizo kwa mwenye uelewa tusaidiane kupeana elimu
 
Ni hali ya kawaida hata mimi mtoto wangu ilikuwa hivo baada ya kwenda hospital wakesema ni kwamba ana utosi mdogo na sasa hivi na miaka 3 yuko sawa kabisa
Habarini za usiku wapendwa.

Naomba mwenye kufahamu ni kwanini mtoto mchanga wa wiki moja utosi wake haudundi na je? io ni hali ya kawaida au ni tatizo kwa mwenye uelewa tusaidiane kupeana elimu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom