Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Wataalamu wa sheria tafadhali naomba mnijuze kuhusu utaratibu wa ni jinsi gani Jaji mkuu anaweza kufukuzwa kazi endapo asipotekeleza majukumu yake sawa sawa. Ufahamu wangu ni kwamba Jaji anateuliwa na raisi lakini Raisi hana mamlaka ya kumfukuza kazi. Sasa kwa sheria za hapa Tanzania utaratibu ni upi?